Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 365

Category: Habari za Nyumbani

Mkutano Mkuu TFF Kufanyika Singida, Mfuko wa Maendeleo…!

Posted on: December 20, 2014 - jomushi
Post Tags: mkutano, Singida, TFF
Mkutano Mkuu TFF Kufanyika Singida, Mfuko wa Maendeleo…!

KAMATI ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imepanga Mkutano Mkuu wa Kawaida wa mwaka ufanyike Machi 14 na 15 mwakani mjini…

Continue Reading....

Mapinduzi ya Kitekinolojia Katika Sekta ya Afya

Posted on: December 20, 2014 - jomushi
Post Tags: Kitekinolojia, Mapinduzi, Sekta ya Afya
Mapinduzi ya Kitekinolojia Katika Sekta ya Afya

KATIKA muongo uliopita sekta ya afya imeshuhudia mabadiliko fulani ya ajabu katika maendeleo ya kiteknolojia na uvumbuzi ambao umeleta mchango mkubwa katika utoaji wa ushauri…

Continue Reading....

Kikwete Kuteta na Wazee wa Dar es Salaam

Posted on: December 19, 2014 - jomushi
Post Tags: Kuteta na Wazee, Rais Kikwete
Kikwete Kuteta na Wazee wa Dar es Salaam

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete atazungumza na Wazee wa Mkoa wa Dar Es Salaam, mchana wa Jumatatu, Desemba 22, 2014.…

Continue Reading....

Mtandao wa Wanawake na Katiba Waeleza Sababu za Kuunga Mkono Katiba Inayopendekeza

Posted on: December 19, 2014December 19, 2014 - jomushi
Post Tags: Mtandao wa Wanawake na Katiba, TAMWA, Wahariri
Mtandao wa Wanawake na Katiba Waeleza Sababu za Kuunga Mkono Katiba Inayopendekeza

MTANDAO Wanawake na Katiba nchini pamoja na Chama cha Wanahabari Wanawake (TAMWA) wamesema wanaunga mkono Katiba iliyopendekezwa na kujivunia hatua waliopiga katika kudai haki mbalimbali…

Continue Reading....

Mama Kikwete Awaasa Vijana Uzinduzi UWAMAKI

Posted on: December 19, 2014 - jomushi
Post Tags: Mama Kikwete, Uzinduzi UWAMAKI
Mama Kikwete Awaasa Vijana Uzinduzi UWAMAKI

Na Anna Nkinda – Maelezo VIJANA wametakiwa kujiunga na vikundi vya kuweka akiba na kukopa ili kuchangia mawazo yao  na ubunifu na wakati huo huo wanajitengenezea…

Continue Reading....

Dk. James Mataragio Mkurugenzi Mtendaji Mpya wa TPDC, JK Ateuwa Msaidizi

Posted on: December 18, 2014 - jomushi
Post Tags: Dk. James Mataragio, Mkurugenzi Mtendaji TPDC
Dk. James Mataragio Mkurugenzi Mtendaji Mpya wa TPDC, JK Ateuwa Msaidizi

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete, amemteua Dk. James P. Mataragio kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari