Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 363

Category: Habari za Nyumbani

Mshindi wa Pili Miss Universe Kuiwakilisha Tanzania Kimataifa

Posted on: December 23, 2014 - jomushi
Post Tags: Miss Universe
Mshindi wa Pili Miss Universe Kuiwakilisha Tanzania Kimataifa

KAMATI ya Miss Universe Tanzania imemteua mshindi wa pili wa Miss Universe 2014, Nale Boniface kwenda kuiwakilisha nchi katika mashindano ya kimataifa ya Miss Universe…

Continue Reading....

Mzimu wa Escrow Waendelea Kula Vichwa, Katibu Mkuu Nishati ‘Stop’

Posted on: December 23, 2014December 23, 2014 - jomushi
Mzimu wa Escrow Waendelea Kula Vichwa, Katibu Mkuu Nishati ‘Stop’

KATIBU Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Yohana Sefue, amemsimamisha kazi kwa muda Ndugu Eliakim Maswi, Katibu Mkuu ya Wizara ya Nishati na Madini, ili kupisha uchunguzi…

Continue Reading....

Geofrey Mungai Awasaidia Yatima wa Daily Bread Life

Posted on: December 23, 2014 - jomushi
Geofrey Mungai Awasaidia Yatima wa Daily Bread Life

Bi  Sarah Mungai akiwa na mmoja kati ya  watoto yatima wa kituo cha DBL mkimbizi Iringa Bi  sarah Mungai akiwa na Mtoto  aliyetupwa na  mama …

Continue Reading....

TTCL Wawapa Misaada Wagonjwa wa Saratani Ocean Road

Posted on: December 23, 2014 - jomushi
Post Tags: Ocean Road Dar, TTCL, wagonjwa wa Saratani
TTCL Wawapa Misaada Wagonjwa wa Saratani Ocean Road

KAMPUNI ya Simu Tanzania (TTCL) leo imetoa msaada wa vyakula na bidhaa mbalimbali kwa Hospitali ya Wagonjwa wa Kansa Ocean Road ya jijini Dar es…

Continue Reading....

Wamachinga Wacharuka, Wavamia Ofisi za Jiji Dar

Posted on: December 23, 2014 - jomushi
Post Tags: Ofisi za Jiji Dar, Polisi, Wamachinga
Wamachinga Wacharuka, Wavamia Ofisi za Jiji Dar

Na Mwandishi Wetu, WAFANYABIASHARA ndogondogo maarufu kama wa machinga leo jijini Dar es Salaam waliandamana hadi katika Ofisi za Jiji la Dar es Salaam zilizopo…

Continue Reading....

Sakata la Escrow; Rais Kikwete Amfukuza Uwaziri Prof Tibaijuka

Posted on: December 23, 2014 - jomushi
Post Tags: Escrow, Prof. Tibaijuka, Rais Kikwete
Sakata la Escrow; Rais Kikwete Amfukuza Uwaziri Prof Tibaijuka

Na Mwandishi Wetu RAIS wa Tanzania, Jakaya Kikwete amemfukuza kazia Waziri wa Ardhi na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka kwa kukiuka sheria ya maadili…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari