Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 353

Category: Habari za Nyumbani

Mechi za Raundi ya 21 na 22 Kusimama Kupisha Viporo vya Polisi

Posted on: January 26, 2015 - jomushi
Post Tags: Mechi, Mpira wa Miguu, Polisi
Mechi za Raundi ya 21 na 22 Kusimama Kupisha Viporo vya Polisi

MECHI za raundi ya 21 na 22 za Ligi Daraja la Kwanza (FDL) kwa makundi yote zitasimamishwa ili kupisha Polisi Mara imalize mechi zake za…

Continue Reading....

Uteuzi Mkurugenzi Mkuu Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi

Posted on: January 26, 2015 - jomushi
Post Tags: Fidia kwa Wafanyakazi, Mfuko
Uteuzi Mkurugenzi Mkuu Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Bwana Masha J. Musomba kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi. Uteuzi…

Continue Reading....

Profesa Muhongo Akimbia Aibu ya Kufukuzwa Uwaziri

Posted on: January 24, 2015 - jomushi
Post Tags: Mawaziri Wapya, Profesa Muhongo, Waapiswa
Profesa Muhongo Akimbia Aibu ya Kufukuzwa Uwaziri

*JK ateuwa mawaziri na kuwaapisha papo hapo ALIYEKUWA Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amekimbia aibu ya kutimuliwa katika nafasi yake ya uwaziri…

Continue Reading....

Profesa Sospeter Muhongo Atangaza Kujiuzulu Leo

Posted on: January 24, 2015 - jomushi
Post Tags: Ajiuzulu, Prof Sospeter Muhongo, Tegeta Escrow
Profesa Sospeter Muhongo Atangaza Kujiuzulu Leo

TAARIFA ambazo mtandao wa dev.kisakuzi.com umezipata ni kwamba Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo ameamua kujiuzulu nafasi yake. Profesa Muhongo ametangaza hatua hiyo…

Continue Reading....

LHRC Yazungumzia Utekelezaji Sheria Kura ya Maoni…!

Posted on: January 23, 2015January 23, 2015 - jomushi
Post Tags: Kura ya Maoni ya Katiba, LHRC, sheria
LHRC Yazungumzia Utekelezaji Sheria Kura ya Maoni…!

Wanahabari kutoka vyombo mbalimbali wakichukua taarifa hiyo. KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimesema kina wasiwasi na mchakato wa kura ya maoni inayotarajiwa…

Continue Reading....

Sekta ya Sayansi na Teknolojia Yaonesha Mafanikio

Posted on: January 23, 2015January 23, 2015 - jomushi
Post Tags: Costech, Sayansi, Teknolojia
Sekta ya Sayansi na Teknolojia Yaonesha Mafanikio

 Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (Costech), Dk. Hassan Mshinda (katikati), akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kwenye…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari