Askari wa FFU wakizunguka mitaa mbali mbali ya mji wa Iringa jana kama njia ya kulinda amani kwa wafanyabiashara ambao waliendelea kutoa huduma baada ya…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Ebola Imethibitisha Udhaifu wa Mifumo ya Afya
MKUTANO mkubwa wa kimataifa kuhusu masuala ya afya umeambiwa kuwa ugonjwa wa ebola umethibitisha kuwa dunia haijajenga uwezo wa kutosha wa kukabiliana na magonjwa makubwa…
Continue Reading....Janga Lingine Polisi, Askari Wanyang’anywa Silaha 2
JESHI la Polisi limeendelea kukumbwa na majanga ya askari wake kuvamiwa na kunyang’anywa silaha nyakati za usiku wakiwa kazini. Ikiwa ni siku chache zimepita baada…
Continue Reading....NSSF, Real Madrid Kuzalisha Vipaji vya Soka Tanzania
Na Mwandishi Wetu SHIRIKA la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) limeingia mkataba na klabu maarufu duniani ya Real Madrid ya Hispania wa kujenga kituo…
Continue Reading....TTCL Yasaini Mkataba wa USD Mil 182 na Huawei Kuboresha Mawasiliano
TTCL na Kampuni ya MS Huawei Technologies ya China imeingia mkataba ambao unalenga kujenga, kupanua na kuboresha mtandao wa TTCL wa simu za mezani, mkononi…
Continue Reading....Watanzania Ughaibuni Watakiwa Kuwekeza Kwenye Afya Tanzania
WAZIRI wa Afya na Ustawi wa Jamii wa Tanzania, Seif Rashid na Waziri wa Afya wa Zanzibar, Rashid Seif Suleiman, Januari 25, 2015 walikutana na kuzungumza na…
Continue Reading....