Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 346

Category: Habari za Nyumbani

Watafiti, Wataalamu Wapewa Wito Matumizi ya Takwimu

Posted on: February 19, 2015 - jomushi
Post Tags: Takwimu, Wataalamu, Watafiti
Watafiti, Wataalamu Wapewa Wito Matumizi ya Takwimu

Na Aron Msigwa, Dar es Salaam SERIKALI imetoa wito kwa watafiti na wataalam kutoka vyuo vikuu, taasisi za elimu na mashirika binafsi kushiriki kikamilifu kuhamasisha jamii…

Continue Reading....

UN Yaomba Juhudi Ziongezwe Kukabili Wauaji Albino

Posted on: February 19, 2015 - jomushi
Post Tags: Albino, Mauaji, UN
UN Yaomba Juhudi Ziongezwe Kukabili Wauaji Albino

Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez akizungumza na binti…

Continue Reading....

Rais Kikwete Apangua Ma-DC, 12 Wapigwa Chini, Watano Waula…!

Posted on: February 19, 2015 - jomushi
Post Tags: Ma-DC, Rais Kikwete, Uteuzi
Rais Kikwete Apangua Ma-DC, 12 Wapigwa Chini, Watano Waula…!

RAIS wa Tanzania, Dk. Jakaya Kikwete, amefanya mabadiliko ya Wakuu wa Wilaya ikiwa ni pamoja na kutengua uteuzi wa Wakuu wa Wilaya 12 na kuwapangia…

Continue Reading....

Chifu Abdu Adam Mkwawa Azikwa, JK Ashiriki Mazishi

Posted on: February 17, 2015 - jomushi
Post Tags: Chifu Abdu Adam Mkwawa, Mazishi, Rais Kikwete
Chifu Abdu Adam Mkwawa Azikwa, JK Ashiriki Mazishi

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete Februari 16, 2015, ameungana na mamia ya waombolezaji kumlaza katika nyumba yake ya milele, Chifu wa…

Continue Reading....

TRUMARK Yaja na Warsha Maalum Siku ya Wanawake Duniani

Posted on: February 17, 2015February 17, 2015 - jomushi
Post Tags: Duniani, Siku ya Wanawake, TRUMARK
TRUMARK Yaja na Warsha Maalum Siku ya Wanawake Duniani

 Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Trumark, Agnes Mgongo (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu warsha maalumu iliyoandaliwa na…

Continue Reading....

TTCL Ziarani Mikoa ya Kusini na Nyanda za juu kusini.

Posted on: February 16, 2015 - jomushi
Post Tags: TTCL
TTCL  Ziarani Mikoa ya Kusini na Nyanda za juu kusini.

Afisa Mtendaji Mkuu Dr Kamugisha Kazaura atembelea mikoa ya Lindi, Mtwara, Ruvuma na Mbeya ikiwa na lengo la kukagua miundombinu ya TTCL na Mkongo wa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari