Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha NCCR-Mageuzi, Zanzibar, Musa Kombo Musa (kulia), akimkaribisha Mwenyekiti wa chama hicho Taifa, James Mbatia (katikati), ili azungumze na wanahabari…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Waziri Mkuu Ashauri Kuanzishwa Halmashauri ya Kilolo
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda ameutaka uongozi wa Mkoa wa Iringa uangalie uwezekano wa kuanzisha Halmashauri mpya katika Wilaya ya Kilolo kata ya Mahenge na tarafa…
Continue Reading....Pinda Apiga Marufuku Ukarabati Maabara, Ataka Mpya
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amepiga marufuku ukarabati wa maabara za shule za sekondari na kusisitiza kwamba ni lazima zijengwe mpya kama ambavyo Serikali ilielekeza. Ametoa…
Continue Reading....Tanzania Inaunga Mkono Ushirikiano wa Kikanda-JK
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na mwenyeji wao Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya pamoja na Rais Yoweri Museveni wa Uganda, Rais Paul Kagame wa Rwanda…
Continue Reading....Clouds FM Yakanusha Kutumika Kisiasa na CCM
Na Mwandishi Wetu KAMPUNI ya Clouds Media Group wamiliki wa redio Clouds FM, Choice FM na Clouds Televisheni wamepinga vikali juu ya tuhuma kwamba wanatumiwa…
Continue Reading....