Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 314

Category: Habari za Nyumbani

Ujue Upasuaji Magonjwa ya Mishipa ya Moyo Wenye Madhara Kidogo

Posted on: May 21, 2015 - jomushi
Post Tags: Magonjwa ya Mishipa ya Moyo, Upasuaji
Ujue Upasuaji Magonjwa ya Mishipa ya Moyo Wenye Madhara Kidogo

UGONJWA wa mishipa ya moyo (CAD) ni aina ya ugonjwa wa moyo unaowakumba wengi, huongoza kusababisha vifo kwa wengi ikiwemo wanawake na wanaume. Ugonjwa hutokea…

Continue Reading....

UNESCO Yaahidi Kupambana na Unyanyasaji wa Albino Tanzania

Posted on: May 21, 2015 - jomushi
Post Tags: Albino Tanzania, UNESCO, Unyanyasaji
UNESCO Yaahidi Kupambana na Unyanyasaji wa Albino Tanzania

Kiongozi wa ofisi na mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) nchini, Zulmira Rodrigues (kulia) akisalimiana na Mkuu wa…

Continue Reading....

Mlipuko Magonjwa ya Kuambukiza Kambi za Wakimbizi Kigoma…!

Posted on: May 21, 2015 - jomushi
Post Tags: Kigoma, Magonjwa, Wakimbizi
Mlipuko Magonjwa ya Kuambukiza Kambi za Wakimbizi Kigoma…!

 Baadhi ya wakimbizi wakiwa wamewasili Kigoma  Wakimbizi kutoka Burundi wakisubiri huduma mbalimbali za kijamii  Mmoja wa wakimbizi akiwa anapata matibabu  Hapa watoto wa wakimbizi wakijipikia…

Continue Reading....

Mkuu wa Mkoa Aagiza Sheria Zitumike Kuisafisha Morogoro

Posted on: May 21, 2015 - jomushi
Post Tags: Morogoro, Usafi na Sheria
Mkuu wa Mkoa Aagiza Sheria Zitumike Kuisafisha Morogoro

Na Andrew Chimesela – Morogoro MKUU wa Mkoa wa Morogoro Dk. Rajab Rutengwe ameuagiza uongozi wa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro kutumia sheria zilizopo katika…

Continue Reading....

Mbunge Mtemvu Afanya Ziara Kuangalia Miundombinu ya Majitaka

Posted on: May 20, 2015 - jomushi
Post Tags: Majitaka, Mbunge Mtemvu, Miundombinu
Mbunge Mtemvu Afanya Ziara Kuangalia Miundombinu ya Majitaka

  Diwani wa Soko la Tazara Vetenary Zahoro Maganga akitoa maelezo kwa Mbunge wa Jimbo la Temeke Abbas Mtemvu alipotembelea maeneo yaliyoharibiwa  na mvua akiongozana…

Continue Reading....

UNESCO Yatoa Mafunzo kwa Walimu Kuboreshaji Elimu

Posted on: May 19, 2015 - jomushi
Post Tags: elimu, Mafunzo Walimu, UNESCO
UNESCO Yatoa Mafunzo kwa Walimu Kuboreshaji Elimu

Head of India Tanzania Center of Excellence in ICT (DIT), Dr. Amos Nungu akiwakaribisha wafanyakazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari