Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 313

Category: Habari za Nyumbani

UNESCO Wawanoa Walimu Teknnolojia ya Habari na Mawasiliano

Posted on: May 24, 2015 - jomushi
UNESCO Wawanoa Walimu Teknnolojia ya Habari na Mawasiliano

Na Geofrey Adroph, Pamoja Blog SHIRIKA la Umoja wa Mataifa Elimu ya Sayansi na Utamaduni (UNESCO) limejikita katika uboreshaji wa elimu kwa kuwapa mafunzo walimu…

Continue Reading....

‘Festula Yawatesa Akinamama 3,000 Tanzania Kila Mwaka’

Posted on: May 22, 2015 - jomushi
Post Tags: Akinamama, Festula, tanzania
‘Festula Yawatesa Akinamama 3,000 Tanzania Kila Mwaka’

Na Joachim Mushi, Dar es Salaam ZAIDI ya akinamama 3,000 nchini Tanzania huugua ugonjwa wa fistula mara baada ya kujifungua kila mwaka, huku sababu kubwa…

Continue Reading....

TAMWA Kuwajengea Uwezo Waandishi Uandishi Habari za Uchaguzi

Posted on: May 22, 2015May 22, 2015 - jomushi
Post Tags: Habari za Uchaguzi, TAMWA, Waandishi
TAMWA Kuwajengea Uwezo Waandishi Uandishi Habari za Uchaguzi

CHAMA cha Waandishi wa Habari Wanawake (TAMWA) kimepanga kuwajengea uwezo baadhi ya waandishi wa habari nchini juu ya uandishi wa habari za uchaguzi kujiandaa na…

Continue Reading....

Walemavu Wafunga Barabara ya Kawawa Dar, Shughuli Zasimama

Posted on: May 21, 2015May 21, 2015 - jomushi
Post Tags: Barabara za Kawawa, Uhuru, Walemavu
Walemavu Wafunga Barabara ya Kawawa Dar, Shughuli Zasimama

WAFANYABIASHARA ndogondogo wenye ulemavu eneo la Mchikichini, Karume jijini Dar es Salaam wamefunga barabara kwa zaidi ya saa nne wakishinikiza kuonana na Mkuu wa Mkoa…

Continue Reading....

Uwazi na Uwajibikaji Unawahusu Wote si Serikali tu-JK

Posted on: May 21, 2015 - jomushi
Post Tags: serikali, Uwazi na Uwajibikaji
Uwazi na Uwajibikaji Unawahusu Wote si Serikali tu-JK

Na Joachim Mushi RAIS wa Tanzania, Jakaya Kikwete amesema dhana ya uwazi na uwajibikaji haipaswi kutekelezwa na Serikali pekee, bali inawahusu pia waendeshaji wa asasi…

Continue Reading....

Rais Kikwete Akemea Vitisho kwa Wabia wa Maendeleo

Posted on: May 21, 2015 - jomushi
Post Tags: Rais Kikwete, Vitisho, Wafadhili Maendeleo
Rais Kikwete Akemea Vitisho kwa Wabia wa Maendeleo

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa kamwe mahusiano kati ya Tanzania na wabia wa maendeleo hayawezi kutawaliwa na vitisho…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari