Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 311

Category: Habari za Nyumbani

Waziri Pinda Ataka Watanzania Kuandika Wosia Kabla ya Kifo

Posted on: May 30, 2015 - jomushi
Post Tags: kifo, Watanzania, Wosia
Waziri Pinda Ataka Watanzania Kuandika Wosia Kabla ya Kifo

Na Mwandishi Maalum WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Mizengo Pinda amewataka Watanzania wote nchini wajenge tabia ya kuandika wosia ili kuondoa matatizo ya mirathi pindi mume…

Continue Reading....

Serikali Kupunguza Gharama za Upimaji Ardhi Kuikabili Migogoro

Posted on: May 30, 2015 - jomushi
Post Tags: Gharama, Migogoro, Upimaji Ardhi
Serikali Kupunguza Gharama za Upimaji Ardhi Kuikabili Migogoro

Na Clarence Nanyaro, Tabora SERIKALI imepanga gharama mbalimbali za upimaji wa ardhi nchini kote kuanzia mwaka ujao wa fedha kwa zaidi ya nusu ili kuwezesha…

Continue Reading....

Viongozi Waanzilishi TAPSEA Walalamikia Uchaguzi wa Chama Chao

Posted on: May 28, 2015 - jomushi
Post Tags: TAPSEA, Uchaguzi, Viongozi
Viongozi Waanzilishi TAPSEA Walalamikia Uchaguzi wa Chama Chao

MGOGORO wa uongozi ndani ya Chama cha Makatibu Muhtasi Tanzania (TAPSEA) umeingia katika hatua tata baada ya viongozi waanzilishi wa chama hicho kulalamikia uchaguzi uliopangwa…

Continue Reading....

Waziri Pinda Apokea Msaada wa Vitabu Shule ya Msingi Kakuni

Posted on: May 27, 2015 - jomushi
Post Tags: shule ya Msingi Kakuni, Vitabu
Waziri Pinda Apokea Msaada wa Vitabu Shule ya Msingi Kakuni

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amepokea msaada wa vitabu 895 vyenye thamani ya sh. milioni 6.5/- ikiwa ni jitihada ya wadau mbalimbali kuchangia shule ya msingi…

Continue Reading....

Wamiliki Vyombo vya Habari Wapinga Mswada wa Sheria Vyombo vya Habari

Posted on: May 27, 2015 - jomushi
Post Tags: sheria, Vyombo vya Habari
Wamiliki Vyombo vya Habari Wapinga Mswada wa Sheria Vyombo vya Habari

 Mwenyekiti wa Umoja wa Wamiliki wa Vyombo vya Habari Tanzania (MOAT), Dk. Reginald Mengi (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam…

Continue Reading....

Mtoto Auwawa, Akatwa Ulimi, Sehemu za Siri na Kulawitiwa

Posted on: May 26, 2015May 26, 2015 - jomushi
Post Tags: Akatwa Ulimi, Alawitiwa, Sehemu za Siri
Mtoto Auwawa, Akatwa Ulimi, Sehemu za Siri na Kulawitiwa

Na Mwandishi Wetu, Moshi WATU watatu wamefariki dunia mkoani Kilimanjaro katika amtukia matatu tofauti likiwama la mtoto wa darasa la nne kuuwaa kinyama kwa kukatwa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari