Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 308

Category: Habari za Nyumbani

Mahakama ya Afrika Yaibana Burkina Faso Kesi ya Mauaji ya Mwandishi

Posted on: June 10, 2015 - jomushi
Post Tags: Burkina Faso, Mauaji Mwandishi
Mahakama ya Afrika Yaibana Burkina Faso Kesi ya Mauaji ya Mwandishi

Na Mtuwa Salira, EANA NI karibuni miaka 16 sasa baada ya kuuawa kwa mwandishi wa habari za uchunguzi wa nchini Burkina Faso, Norbert Zongo, hatimaye…

Continue Reading....

Bado Morogoro Hijatangazwa Fursa za Uwekezaji –Mkuu wa Mkoa

Posted on: June 10, 2015 - jomushi
Post Tags: Uwekezaji Morogoro
Bado Morogoro Hijatangazwa Fursa za Uwekezaji –Mkuu wa Mkoa

Na Andrew Chimesela, Morogoro MKUU wa Mkoa wa Morogoro Dk. Rajab Rutengwe amesema pamoja na kuwa Mkoa wa Morogoro una maeneo makubwa ya ardhi bado…

Continue Reading....

Pan African Energy Tanzania Wakabidhi Nyumba ya Watumishi Zahanati ya Nangurukuru

Posted on: June 10, 2015June 12, 2015 - jomushi
Post Tags: Nangurukuru, Pan African Energy, tanzania
Pan African Energy Tanzania Wakabidhi Nyumba ya Watumishi Zahanati ya Nangurukuru

Na Mwandishi Wetu, Nangurukuru KAMPUNI ya Pan African Energy Tanzania Ltd imekabidhi msaada wa jengo lenye nyumba mbili za wahudumu wa afya wa Zahanati ya…

Continue Reading....

UWT Mufindi Wampigia Magoti Bi. Mkini Kugombea Ubunge

Posted on: June 9, 2015June 10, 2015 - jomushi
Post Tags: Mufindi, Ubunge, UWT
UWT Mufindi Wampigia Magoti Bi. Mkini Kugombea Ubunge

Mwenyekiti wa UWT Mufindi na mjumbe wa NEC Taifa, Bi Marcelina Mkini akiwapongeza  wanawake kwa kumkubali  WAKATI joto  la Uchaguzi  Mkuu likiendelea  kushika kasi ndani…

Continue Reading....

Gola Foundation Kuwaondoa Watoto wa Mitaani Arusha…!

Posted on: June 9, 2015 - jomushi
Post Tags: Gola Foundation, Watoto wa Mitaani Arusha
Gola Foundation Kuwaondoa Watoto wa Mitaani Arusha…!

  Afisa ustawi wa jamii na Maendeleo ya jamii jijini Arusha  Mwantumu Dossi akitembelea mradi wa shamba la mahindi unaoendeshwa na taasisi ya Gola Foundation jana katika kituo…

Continue Reading....

Kwanini Hakuna Nakala Za Kutosha Za “Katiba Pendekezwa”?

Posted on: June 8, 2015 - Rungwe Jr.
Kwanini Hakuna Nakala Za Kutosha Za “Katiba Pendekezwa”?

Kama katiba inayopendekezwa inafaa, kwanini CCM hawasambazi nakala za kutosha, ili wananchi wajisomee wenyewe? Rais anatukumbusha kila wakati kwamba “akili za kuambiwa changanya na zakwako”…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari