Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 299

Category: Habari za Nyumbani

Mabibo Beer Yadai Tirioni Moja Tume ya Ushindani

Posted on: July 1, 2015 - jomushi
Mabibo Beer Yadai Tirioni Moja Tume ya Ushindani

 Mwenyekiti wa Kampuni ya Mabibo Beer Wines and Spirits Ltd, Benedicta James Rugemalira (katikati), akizungumza katika mkutano huo na kusema bia halali iliyopo kwenye soko ni…

Continue Reading....

Mafundi TEMESA Wafundwa Juu ya Usimamizi na Ukaguzi Mazingira

Posted on: July 1, 2015 - jomushi
Post Tags: Mazingira, Temesa
Mafundi TEMESA Wafundwa Juu ya Usimamizi na Ukaguzi Mazingira

MAFUNDI sanifu wa Wakala wa Umeme na Ufundi (TEMESA), kutoka mikoa mbalimbali nchini wameaswa juu ya umuhimu wa tathmini, usimamizi na ukaguzi wa mazingira katika…

Continue Reading....

NSSF Yatoa Huduma za Afya Bure Maonesho ya Sabasaba

Posted on: June 30, 2015June 30, 2015 - jomushi
Post Tags: Huduma Afya, NSSF, Sabasaba

Na Mwandishi Wetu SHIRIKA la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) linatoa huduma za afya bure kwa wateja mbalimbali watakaotembelea katika Banda la shirika hilo…

Continue Reading....

Maiti Yazinduka Ikiandaliwa Kuzikwa Bagamoyo…!

Posted on: June 30, 2015 - jomushi
Post Tags: Bagamoyo, Maiti yazinduka
Maiti Yazinduka Ikiandaliwa Kuzikwa Bagamoyo…!

Na Mwandishi Wetu, Bagamoyo MAAJABU yametokea Mjini Bagamoyo baada ya mtu aliyefahamika kwa jina moja, Bi. Hatujuani kuzinduka na kuanza kupumua wakati maiti yake ikioshwa…

Continue Reading....

Tanzania Wapongezwa Kupunguza Vifo vya Wajawazito na Watoto

Posted on: June 30, 2015 - jomushi
Post Tags: Haki za Binadamu, UN, UNICEF
Tanzania Wapongezwa Kupunguza Vifo vya Wajawazito na Watoto

Na Joachim Mushi, Dar es Salaam TANZANIA inajivunia mafanikio makubwa ya kupunguza idadi ya vifo vya wajawazito pamoja na idadi ya watoto chini ya miaka…

Continue Reading....

Banda la NSSF Lavutia Wengi Maonesho 39 ya Kimataifa Sabasaba

Posted on: June 30, 2015 - jomushi
Post Tags: Maonesho, NSSF, Sabasaba
Banda la NSSF Lavutia Wengi Maonesho 39 ya Kimataifa Sabasaba

WANACHAMA wote wa NSSF na wasio Wanachama Mnakaribishwa kujionea na kupata huduma mbalimbali zikiwemo, taarifa za jumla zinazohusu kujiandikisha uanachama, uwekezaji unaofanywa na Shirika, Maelezo…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari