Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 296

Category: Habari za Nyumbani

Mbunge Joshua Nassar Aanguka na Helkopita…!

Posted on: July 7, 2015July 7, 2015 - jomushi
Post Tags: ajali, Helkopita, Joshua Nassar, Mbunge
Mbunge Joshua Nassar Aanguka na Helkopita…!

MBUNGE wa Jimbo la Arumeru Mashariki kupitia tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) amepata ajali baada ya helkopita aliyokuwa akisafiria kupotea mawinguni kabla…

Continue Reading....

Kinondoni Kujenga Kiwanda cha Taka…!

Posted on: July 7, 2015 - jomushi
Post Tags: kinondoni, Takataka
Kinondoni Kujenga Kiwanda cha Taka…!

MANISPAA ya Kinondoni imesaini mkataba wa kiushirikiano na Jiji la Humburg mkataba utakaowezesha kujengwa kwa mtambo wa kuchakata taka za ugani na kuzalishwa mbolea eneo…

Continue Reading....

Rais Museveni Apewa Kibarua Kusuluhisha Mgogoro wa Kisiasa Burundi

Posted on: July 7, 2015 - jomushi
Post Tags: Burundi, Rais Museveni
Rais Museveni Apewa Kibarua Kusuluhisha Mgogoro wa Kisiasa Burundi

Na Benedict Liwenga, Maelezo WAKUU wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki wamemteua Rais wa Uganda, Yoweri Museveni kuwa msimamizi wa kuongoza juhudi za kupatanisha…

Continue Reading....

TTCL Watoa Msaada wa Mifuko ya Saruji Kituo cha Yatima Madale

Posted on: July 7, 2015 - jomushi
Post Tags: Msaada Saruji, TTCL, Yatima Madale
TTCL Watoa Msaada wa Mifuko ya Saruji Kituo cha Yatima Madale

Na Mwandishi Wetu KAMPUNI ya Simu Tanzania (TTCL) imetoa msaada wa mifuko ya saruji kwa kituo cha watoto yatima cha Mama wa Huruma, kilichopo eneo…

Continue Reading....

Hospitali za Apollo Kuokoa Zaidi ya Watu 100 Maonyesho ya Biashara ya Kimataifa Dar

Posted on: July 7, 2015 - jomushi
Post Tags: Dar, Hospitali za Apollo, Maonyesho Biashara
Hospitali za Apollo Kuokoa Zaidi ya Watu 100 Maonyesho ya Biashara ya Kimataifa Dar

HOSPITALI za Apollo zimekuwa mstari wa mbele kwa teknolojia ya hali ya juu na zinaongoza katika kutoa huduma nafuu za matibabu kwa wagonjwa duniani kote.…

Continue Reading....

Laurean Rugambwa Awa Mkurugenzi Mtendaji MSD

Posted on: July 7, 2015 - jomushi
Post Tags: Laurean Rugambwa, MSD
Laurean Rugambwa Awa Mkurugenzi Mtendaji MSD

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Ndugu Laurean Rugambwa Bwanakunu kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Bohari ya Dawa (MSD). Taarifa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari