Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 292

Category: Habari za Nyumbani

Hasan Mazala Aomba Kuvaa Viatu vya Mohammed Dewji Singida Mjini

Posted on: July 15, 2015 - jomushi
Post Tags: Singida Mjini
Hasan Mazala Aomba Kuvaa Viatu vya Mohammed Dewji Singida Mjini

  Mazala akiwaasa vijana kufanya kazi kwa nguvu katika jimbo hilo. Mkinipa nafasi ya kuwatumikia mambo yatanyooka namna hii. Mgombea wa nafasi ya Ubunge Jimbo…

Continue Reading....

Kijana Edmund Rutaraka Ajitosa Ubunge Moshi Mjini

Posted on: July 15, 2015 - jomushi
Post Tags: Ubunge
Kijana Edmund Rutaraka Ajitosa Ubunge Moshi Mjini

Na Dixon Busagaga SIKU chache baada ya kumalizika mchakato wa kumpata kada atakaye peperusha bendera ya Chama cha Mapinduzi (CCM) katika kinyang’anyiro cha kumpata Rais…

Continue Reading....

Polisi Kutoa Milioni 50 kwa Atakayetoa Taarifa Uvamizi Stakishari…!

Posted on: July 15, 2015 - jomushi
Post Tags: Dar, Stakishari, Uvamizi Polisi
Polisi Kutoa Milioni 50 kwa Atakayetoa Taarifa Uvamizi Stakishari…!

JESHI la Polisi limetangaza kutoa kiasi cha shilingi milioni 50 kwa mtu yeyote atakayetoa taarifa sahihi juu ya wavamizi wa Kituo cha Polisi Stakishari kilichopo…

Continue Reading....

Mgombea Urais Ukawa; Hakijaeleweka

Posted on: July 15, 2015 - jomushi
Post Tags: Mgombea, Ukawa
Mgombea Urais Ukawa; Hakijaeleweka

MAMBO yamekuwa mazito. Ndivyo inavyoonekana baada ya vyama vya upinzani vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kushindwa kutangaza mgombea urais jana badala yake ukatoa…

Continue Reading....

Fainali Mgombea wa Ukawa Yawadia Leo

Posted on: July 14, 2015 - jomushi
Post Tags: Mgombea, Ukawa
Fainali Mgombea wa Ukawa Yawadia Leo

NI fainali leo pale vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) vitakapompitisha mgombea wake urais atakayepambanishwa na yule wa CCM, Dk John Magufuli aliyepitishwa…

Continue Reading....

Mathew Yungwe Ajitosa Kumng’oa Dk Shukuru Kawambwa Bagamoyo

Posted on: July 14, 2015July 14, 2015 - jomushi
Post Tags: Bagamoyo, Dk Shukuru
Mathew Yungwe Ajitosa Kumng’oa Dk Shukuru Kawambwa Bagamoyo

Meneja wa  Kampeni wa Mtangaza nia huyo, James Mbuligwe (kushoto), akizungumza katika mkutano huo.  Katibu wa Sera na Mipango wa Mtangania huyo, Paul Kassanga(kulia), akizungumza…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari