Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 291

Category: Habari za Nyumbani

TTCL Mkoani Mbeya Waisaidia Sekondari ya Luswisi

Posted on: July 16, 2015 - jomushi
Post Tags: Mbeya, Sekondari Luswisi, TTCL
TTCL Mkoani Mbeya Waisaidia Sekondari ya Luswisi

 Meneja wa TTCL Mkoa wa Mbeya, James Mlaguzi akisoma taarifa ya msaada uliotolewa na kampuni hiyo katika shule ya Sekondari Luswisi.  Mbunge wa Ileje aliyemaliza…

Continue Reading....

Msanii wa Filamu Ajiunga na ACT Wazalendo, Yumo Kiongozi NCCR-Mageuzi

Posted on: July 16, 2015 - jomushi
Post Tags: ACT Wazalendo, NCCR-MAGEUZI
Msanii wa Filamu Ajiunga na ACT Wazalendo, Yumo Kiongozi NCCR-Mageuzi

Na Joachim Mushi MSANII maarufu wa filamu nchini, Mohamed Mwikongi jina la sanaa ‘Frank’ amejiunga na chama kipya cha siasa cha ACT Wazalendo. Frank amejiunga…

Continue Reading....

Vijana Marafiki wa Lowassa Dar Wahamia Chadema

Posted on: July 16, 2015July 16, 2015 - jomushi
Post Tags: Chadema, Marafiki wa Lowassa
Vijana Marafiki wa Lowassa Dar Wahamia Chadema

Na Mwandishi Wetu BAADHI ya vijana wa kundi la 4U Movement waliokuwa wakimuunga mkono Edward Lowassa leo wamerudisha kadi za Chama Cha Mapinduzi (CCM) na…

Continue Reading....

Mwanahabari William Bundala wa Radio Free Africa Kuwania Ubunge Ushetu

Posted on: July 15, 2015 - jomushi
Post Tags: mwanahabari, Radio Free Africa, Ubunge
Mwanahabari William Bundala wa Radio Free Africa Kuwania Ubunge Ushetu

Mwandishi wa habari na mtangazaji wa Radio Free Africa, William Bundala maarufu kwa jina la “kijukuu cha Bibi K” akiwa amebebwa juu na wakazi wa…

Continue Reading....

Jumaa Mhina ‘Pijei’ Aomba Ubunge CCM Kawe…!

Posted on: July 15, 2015 - jomushi
Jumaa Mhina ‘Pijei’ Aomba Ubunge CCM Kawe…!

Hapa ikionesha fomu baada ya kukabidhiwa.  Katibu wa CCM Wilaya ya Kinondoni, Athuman Sheshe (kushoto), akimpa maelezo ya kufuata baada ya kukabidhiwa fomu hizo. Waandishi…

Continue Reading....

Kingunge Asema ‘CCM’ Imemuonea Lowassa

Posted on: July 15, 2015 - jomushi
Post Tags: CCM, Kingunge, Lowassa
Kingunge Asema ‘CCM’ Imemuonea Lowassa

JANA Mzee Kingunge Ngombali Mweru kazungumza na Vyombo vya Habari, ameanza kwa kupinga mfumo uliotumika kuwachuja wagombea wa urais kupitia CCM. Kingunge amesema “Kamati ya…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari