Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 285

Category: Habari za Nyumbani

Mbwa Mwitu Waibuka Tena, Wavamia Wakata Mapanga Watu Mchana

Posted on: July 27, 2015 - jomushi
Post Tags: Dar es salaam, Mbwa Mwitu
Mbwa Mwitu Waibuka Tena, Wavamia Wakata Mapanga Watu Mchana

Na Mwandishi Wetu, KUNDI la vijana waporaji wanaotumia silaa za jadi baadhi ya maeneo jijini Dar es Salaam leo wameibuka tena na kuvamia baadhi ya…

Continue Reading....

UKAWA Wamkaribisha Edward Lowassa Kujiunga, Wapo Tayari Kushirikiana

Posted on: July 27, 2015 - jomushi
Post Tags: Edward Lowassa, Ukawa
UKAWA Wamkaribisha Edward Lowassa Kujiunga, Wapo Tayari Kushirikiana

Na Joachim Mushi, Dar es Salaam UMOJA wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) unaoundwa na vyama vya CHADEMA, CUF, NCCR-Mageuzi na NLD umemwalika rasmi Mbunge wa…

Continue Reading....

Rais Jakaya Kikwete Ziarani Nchini Australia

Posted on: July 27, 2015July 27, 2015 - jomushi
Post Tags: Australia, Raisi Kikwete
Rais Jakaya Kikwete Ziarani Nchini Australia

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete aliondoka nchini usiku wa Jumamosi, Julai 25, 2015, kwenda Australia ambako anaanza ziara rasmi ya…

Continue Reading....

ESAMI, Wizara ya Habari Zawapiga Msasa Maofisa Vijana

Posted on: July 27, 2015 - jomushi
Post Tags: ESAMI, Vijana
ESAMI, Wizara ya Habari Zawapiga Msasa Maofisa Vijana

MAOFISA Vijana Nchini wametakiwa kutumia elimu wanayopata katika kuwaendeleza vijana kiuchumi ili kuwawezesha kushiriki katika shughuli za uzalishaji mali. Hayo yamesemwa leo Jijini Arusha na…

Continue Reading....

UNESCO Kuhakikisha Wananchi Wanakuwa na Uwezo wa Kuvumbua

Posted on: July 27, 2015July 27, 2015 - jomushi
Post Tags: UNESCO
UNESCO Kuhakikisha Wananchi Wanakuwa na Uwezo wa Kuvumbua

Ofisa Miradi ya Mawasiliano, Habari na Tehama wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini, Al Amin Yusuph, akielezea mantiki ya warsha…

Continue Reading....

Tamasha La Kiafrika Ujerumani Lafungwa Kwa Mavazi Ya Kiafrika!

Posted on: July 26, 2015July 26, 2015 - kizungumkuti
Post Tags: gumzo, Tamasha, Ujerumani, waacha, waafrika
Tamasha La Kiafrika Ujerumani Lafungwa Kwa Mavazi Ya Kiafrika!

  Picha na Habari, na dev.kisakuzi.com, Tuebingen, Ujerumani

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari