Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 284

Category: Habari za Nyumbani

‘CCM Haiwezi Kutetereka kwa Kuondoka Lowassa’

Posted on: July 29, 2015July 29, 2015 - jomushi
Post Tags: CCM, Lowassa
‘CCM Haiwezi Kutetereka kwa Kuondoka Lowassa’

Na Joachim Mushi, Dar es Salaam CHAMA cha Mapinduzi (CCM) imesema itashinda Uchaguzi Mkuu mchana kweupeee hapo Oktoba 2015 licha ya aliyekuwa Waziri Mkuu mstaafu…

Continue Reading....

JK Aendelea Kutwaa Shahada za Heshima Vyuo Vikuu

Posted on: July 29, 2015August 23, 2015 - jomushi
Post Tags: Shahada
JK Aendelea Kutwaa Shahada za Heshima Vyuo Vikuu

Na Premi Kibanga, Mwandishi wa Habari wa Rais, Newcastle-Australia RAIS Jakaya Kikwete ametunukiwa shahada ya heshima ya udaktari wa Sheria (Doctor of Laws honorific causa)…

Continue Reading....

Lowassa Atoboa Siri ya Richmond, Adai ni Maagizo ya Mamlaka ya Juu

Posted on: July 29, 2015July 29, 2015 - jomushi
Post Tags: Siri ya Richmond
Lowassa Atoboa Siri ya Richmond, Adai ni Maagizo ya Mamlaka ya Juu

Na Mwandishi Wetu, WAZIRI Mkuu mstaafu, Edward Lowassa ametua zigo la kashfa ya Richmond iliyosababisha kujiuzulu uwaziri mkuu kwa kueleza jitihada zake alizofanya kabla ya…

Continue Reading....

Waziri Mkuu Australia Ampongeza Rais Kikwete Kuachia Madaraka Kikatiba

Posted on: July 29, 2015 - jomushi
Post Tags: Waziri Mkuu Australia
Waziri Mkuu Australia Ampongeza Rais Kikwete Kuachia Madaraka Kikatiba

WAZIRI Mkuu wa Australia, Tony Abbot amempongeza Rais Jakaya Mrisho Kikwete kwa kuamua kukabidhi madaraka kwa kiongozi mwingine kwa mujibu wa Katiba nchini Tanzania. “Nakupongeza…

Continue Reading....

TTCL Waweka Wazi Mafanikio ya Mkongo Mkutano wa Connect 2 Connect

Posted on: July 28, 2015 - jomushi
Post Tags: Connect 2 Connect, TTCL
TTCL Waweka Wazi Mafanikio ya Mkongo Mkutano wa Connect 2 Connect

Na Mwandishi Wetu, TANZANIA inafanya mazungumzo na mataifa anuai ya Afrika zikiwemo nchini za Angola, Namibia pamoja na Zambia ili kuweza kuunganisha mkongo wa taifa…

Continue Reading....

Edward Lowassa Aibukia CHADEMA,Kugombea Urais UKAWA

Posted on: July 28, 2015July 28, 2015 - jomushi
Post Tags: Chadema, Edward Lowassa
Edward Lowassa Aibukia CHADEMA,Kugombea Urais UKAWA

ALIYEKUWA Waziri Mkuu mstaafu wa Tanzania, Edward Ngoyai Lowassa na kada mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ametangaza rasmi kukihama chama hicho na kujiunga na…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari