Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 282

Category: Habari za Nyumbani

UKAWA Wamtangaza Mgombea Wao, Asema Watashinda Kweupeee…!

Posted on: August 4, 2015 - jomushi
Post Tags: Chadema, Lowassa, Ukawa
UKAWA Wamtangaza Mgombea Wao, Asema Watashinda Kweupeee…!

UMOJA wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) unaoundwa na ushirikiano wa vyama vya CHADEMA, CUF, NCCR-Mageuzi na NLD hatimaye umefikia mwafana na kumsimamisha mgombea mmoja wa…

Continue Reading....

Rais Kikwete Asaini Miswada Mitano Hadharani

Posted on: August 4, 2015August 4, 2015 - jomushi
Post Tags: Miswada
Rais Kikwete Asaini Miswada Mitano Hadharani

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete, Agosti 4, 2015, ametia saini Miswada ya Sheria mitano hadharani ikiwa ni hatua yake ya…

Continue Reading....

Rais Kikwete Aaanza Kuaga Watanzania Tanga

Posted on: August 4, 2015 - jomushi
Post Tags: tanga
Rais Kikwete Aaanza Kuaga Watanzania Tanga

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Jakaya Kikwete amewashukuru wananchi wa Tanga kwa ushirikiano waliompa katika kipindi chote cha uongozi wake hali iliyomwezesha…

Continue Reading....

Bodi ya Usajili Wahandisi Yawafutia Usajili Wahandisi 330

Posted on: August 4, 2015 - jomushi
Post Tags: Bodi ya Usajili, Wahandisi
Bodi ya Usajili Wahandisi Yawafutia Usajili Wahandisi 330

 Msajili Mkuu wa Bodi ya Usajili wa Wahandisi Tanzania (ERB), Mhandisi Steven Mlote. Mkutano na wanahabari ukiendelea.       Na Dotto Mwaibale   BODI…

Continue Reading....

Tunakwenda Kwenye Uchaguzi Kushindana na Makapi Yetu – CCM

Posted on: August 4, 2015 - jomushi
Post Tags: Dk. Magufuli, Fomu za Urais
Tunakwenda Kwenye Uchaguzi Kushindana na Makapi Yetu – CCM

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kinakwenda kuingia kwenye Uchaguzi Mkuu kwa kushindana na wagombea ambao ni makapi yake ambao ni viongozi waliotoka chama tawala. Kauli…

Continue Reading....

Matukio Manesho ya Nane Nane Mkoani Lindi…!

Posted on: August 4, 2015 - jomushi
Matukio Manesho ya Nane Nane Mkoani Lindi…!

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari