Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi CUF Maalim Seif Sharif Hamad, akizungumza na viongozi wa CUF pamoja na wagombea uwakilishi na ubunge wa Chama hicho Wilaya…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Serikali ya Ujerumani Yaisaidia Tanzania Bilioni 39
Na Jenikisa Ndile – MAELEZO Serikali ya Tanzania na Ujerumani zimetiliana saini mikataba miwili ya misaada yenye thamani ya jumla ya Sh. Bilioni 39. 1…
Continue Reading....Ikulu Yatuma Rambirambi Kifo cha Mbunge, CUF
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia Salamu za Rambirambi Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Anne…
Continue Reading....Teknolojia Mpya ya Mimba za Ng’ombe Yaja Tanzania
JITIHADA kubwa za Serikali ya Rais Jakaya Kikwete kuleta mageuzi makubwa katika sekta ya mifugo na ufugaji wa Tanzania zimepata msukumo mpya kufuatia uamuzi wa…
Continue Reading....Kisakuzi.com, Inalipa Tsh 2,000 Hadi Tsh 40,000 kwa Video
Kisakuzi.com ni mtandao unaoonesha video za matukio mbalimbali yanayotokea nchini. Mtandao huu, unanunua video na kumuwezesha mtazamaji kujiongezea kipato chake. Kutokana na ubora au tukio…
Continue Reading....WLAC Yawajengea Uwezo Wanawake Walemavu Kushiriki Uchaguzi
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Msaada wa Sheria kwa Wanawake na Watoto (WLAC), Theodosia Muhulo Nshala, akizungumza na wanahabari katika kongamano hilo. Mmoja wa washiriki…
Continue Reading....