Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 276

Category: Habari za Nyumbani

Kipindupindu Chaibuka Dar, Chauwa Wawili Kinondoni

Posted on: August 18, 2015 - jomushi
Post Tags: Dar, Kipindupindu
Kipindupindu Chaibuka Dar, Chauwa Wawili Kinondoni

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadiq ametoa tahadhari kwa wakazi wa jiji hilo kuwa makini kwani ugonjwa wa kipindupindu tayari umevamia…

Continue Reading....

Utafiti wa Afya ya Uzazi, Mtoto na Malaria Kuanza Agosti

Posted on: August 18, 2015August 18, 2015 - jomushi
Post Tags: Utafiti wa Afya
Utafiti wa Afya ya Uzazi, Mtoto na Malaria Kuanza Agosti

Na Veronica Kazimoto, Moshi WITO umetolewa kwa viongozi wote wa Serikali katika Ngazi zote na wananchi kwa ujumla kutoa ushirikiano kwa Wasimamizi, Wahariri na Wadadisi…

Continue Reading....

CCM Waweka Hadharani Kikosi cha Kampeni Uchaguzi Mkuu

Posted on: August 18, 2015August 18, 2015 - jomushi
Post Tags: CCM, Kamati, Kampeni
CCM Waweka Hadharani Kikosi cha Kampeni Uchaguzi Mkuu

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam KAMATI Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) taifa Agosti 17, 2015 imekutana katika kikao chake cha…

Continue Reading....

UKAWA Wataja Mgawanyiko wa Majimbo na Vyama Vyao

Posted on: August 18, 2015 - jomushi
Post Tags: Majimbo, Ukawa
UKAWA Wataja Mgawanyiko wa Majimbo na Vyama Vyao

VYAMA vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) vimetangaza mgawanyo wa majimbo 253 kati ya 265 ya ubunge huku 12 yaliyokuwa kwenye mvutano yakibaki kiporo.…

Continue Reading....

Wanataaluma ya TEHAMA Watakiwa Kuzingatia Maadili

Posted on: August 17, 2015August 17, 2015 - jomushi
Post Tags: TEHAMA
Wanataaluma ya TEHAMA Watakiwa Kuzingatia Maadili

Na Aron Msigwa -MAELEZO, ARUSHA SERIKALI imewataka watalaam wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) walio katika utumishi wa umma nchini kufanya kazi zao kwa…

Continue Reading....

Madereva wa Mabasi ya Mwendo wa Haraka ya Jijini Dar Waanza Mafunzo

Posted on: August 17, 2015 - jomushi
Post Tags: Mabasi ya haraka
Madereva wa Mabasi ya Mwendo wa Haraka ya Jijini Dar Waanza Mafunzo

 Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Hawa Ghasia, akikata utepe kuashiria uzinduzi wa mafunzo ya madereva…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari