Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 272

Category: Habari za Nyumbani

DC Mbeya Ataka Taifa Lenye Viongozi Wanasayansi

Posted on: August 25, 2015 - jomushi
DC Mbeya Ataka Taifa Lenye Viongozi Wanasayansi

Katibu wa Tuiko Mkoa wa Mbeya Ndugu Merbota Kapinga akizungumza katika mkutano huo . Mwenyekiti wa Tuiko Mkoaa wa Mbeya Daudi Mpolya akizungumza na wajumbe…

Continue Reading....

Benki ya Mkombozi Yazindua Tawi Jipya Kilimanjaro

Posted on: August 25, 2015 - jomushi
Benki ya Mkombozi Yazindua Tawi Jipya Kilimanjaro

Baadhi ya wananchi wakishuhudia ufunguzi rasmi wa Benki ya Mkombozi tawi la Moshi. Maeneo tofauti ya Benki hiyo kwa ndani. Askofu wa jimbo Katoliki la…

Continue Reading....

Felix Ntibenda Mgeni Rasmi Tamasha la 10 Vyombo vya Habari

Posted on: August 25, 2015August 25, 2015 - jomushi
Felix Ntibenda Mgeni Rasmi Tamasha la 10 Vyombo vya Habari

Na Woinde Shizza,Arusha Mkuu wa mkoa wa Arusha, Felix Ntibenda,anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika tamasha la 10 la vyombo vya habari  vya mkoa wa Arusha. ambalo litafanyika Agosti 29…

Continue Reading....

Mgombea Mwenza CCM Ahaidi Pikipiki 30 za Mikopo kwa Vijana Vunjo

Posted on: August 25, 2015 - jomushi
Post Tags: Mgombea
Mgombea Mwenza CCM Ahaidi Pikipiki 30 za Mikopo kwa Vijana Vunjo

Na Joachim Mushi, Rombo MGOMBEA mwenza wa kiti cha urais Bi. Samia Suluhu amesema ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imetoa kipaumbele kwa kuwawezesha vijana…

Continue Reading....

JK Awaonya Maafisa TAMISEMI,Bodi ya Barabara na Wadau

Posted on: August 25, 2015 - jomushi
JK Awaonya Maafisa TAMISEMI,Bodi ya Barabara na Wadau

Rais wa Jamhuri ya Muunganowa Tanzania,Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa niwajibu wa Mikoa na serikali za Mitaa kusimamia changamoto na mapungufu katika usimamizi wa ujenzi…

Continue Reading....

Wananchi Wamzuia Mgombea Mwenza wa CCM Barabarani Mwanga

Posted on: August 24, 2015August 24, 2015 - jomushi
Post Tags: Mgombea Mwenza CCM
Wananchi Wamzuia Mgombea Mwenza wa CCM Barabarani Mwanga

BAADHI ya wananchi na wapenzi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamelazimika kuuzuia msafara wa mgombea mwenza wa nafasi ya urais leo alipokuwa njiani akitokea Wilaya…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari