Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 248

Category: Habari za Nyumbani

Vijana Msikubali Kutumiwa Vibaya na Baadhi ya Wanasiasa

Posted on: October 9, 2015 - jomushi

Na Anna Nkinda – Maelezo, Lindi 09/10/2015 Vijana wametakiwa kutokubali kutumiwa vibaya na baadhi ya wanasiasa kwa maslahi ya watu wachache huku hao wanaowatumia wanasonga…

Continue Reading....

Maadhimisho ya Miaka 70 ya Umoja wa Mataifa Kufanyika oktoba Tanzania

Posted on: October 9, 2015October 9, 2015 - jomushi

Mratibu wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi Mkazi wa UNDP Bw. Alvaro Rodriguez akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu maandalizi ya…

Continue Reading....

Kemikali Zikitumika Ipasavyo Zitapunguza Athari kwa Watu na Mazingira.

Posted on: October 9, 2015 - jomushi

Na Jovina Bujulu- MAELEZO Kukosekana kwa uelewa juu ya hatari na madhara yanayoweza kusababishwa na kemikali kumetajwa kuwa ni chanzo kikubwa cha ajali mbali mbali…

Continue Reading....

Rais Kikwete Ateuliwa Mjumbe Tume ya Elimu Duniani

Posted on: October 8, 2015 - jomushi

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete ameteuliwa kuwa Mjumbe wa Tume ya Kimataifa ya Kuchunguza Jinsi ya Kugharimia Elimu Duniani –…

Continue Reading....

Mpigie Kura MO DEWJI Kushinda Tuzo ya Heshima Barani Afrika

Posted on: October 8, 2015 - jomushi

  KWA HESHIMA NA TAADHIMA NINAOMBA KURA YAKO; Bonyeza Link hii: [ ttp://t.co/8mPEDbghsB] KUNIPIGIA KURA ILI TUIPEPERUSHE BENDERA YA TANZANIA JUU ZAIDI NA KUIWAKILISHA VYEMA…

Continue Reading....

Rais Atuma Salam za Rambirambi ya Mtikila

Posted on: October 8, 2015October 8, 2015 - jomushi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete ametuma salamu za rambirambi na maombolezo kumlilia Mwenyekiti wa Chama cha Siasa cha Democratic Party…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari