Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 245

Category: Habari za Nyumbani

Rais Atuma Rambirambi Msiba wa Filikunjombe

Posted on: October 19, 2015 - jomushi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete ameeleza mshituko wake mkubwa na huzuni yake nyingi, akiomboleza kifo cha Mbunge wa Ludewa, Mkoa…

Continue Reading....

Miaka 10 Inatosha kwa Yeyote Kutumikia Urais –Kikwete

Posted on: October 19, 2015October 19, 2015 - jomushi

• Awataka watumishi wa Ikulu kumsaidia Rais ajaye kwa ari na nguvu zaidi kuliko walivyomsaidia yeye Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya…

Continue Reading....

UNDP Yasisitiza Vita ya Umasikini Kutumia Mazingira

Posted on: October 19, 2015 - jomushi
UNDP Yasisitiza Vita ya Umasikini Kutumia Mazingira

Mkurugenzi Msaidizi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo (UNDP) Tanzania, (Ushauri na Miradi), Amon Manyama akitoa maelezo kuhusu mradi wa PEI na salamu…

Continue Reading....

Mabalozi wa Rwanda na Ufaransa Watembelea AfCHPR

Posted on: October 18, 2015 - jomushi

Na Kulwa Mayombi, EANA MABALOZI wa Rwanda na Ufaransa wanaowakilisha nchi zao Tanzania wametembelea Mahakama ya Afrika ya Watu na Haki za Binadamu (AfCHPR) yenye…

Continue Reading....

Waziri Mkuu Pinda Atoa Maneno ‘Mazito’ kwa Viongozi Kanisani

Posted on: October 18, 2015October 18, 2015 - jomushi

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema anamshukuru Mungu kwa kumuwezesha kumaliza salama utumishi wake Serikalini kwenye ngazi za juu ambao umedumu kwa takriban miaka 15. Akizungumza…

Continue Reading....

Wanafunzi Washindi ‘Genius-Cup’ Wazawadiwa Dar

Posted on: October 18, 2015 - jomushi
Post Tags: Genius-Cup
Wanafunzi Washindi ‘Genius-Cup’  Wazawadiwa Dar

Wanafunzi Sita Washindi wa Shindano la Genius-Cup (mbele) wakiwa katika picha ya pamoja na vyeti vyao mara baada ya kuibuka washindi. Nyuma yao ni meza…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari