Na Nyakongo Manyama- MAELEZO WIZARA ya Nishati na Madini imekanusha habari iliyopotosha umma kuhusu mradi wa umeme wa Kinyerezi II kuwa bado haujaanza na gharama zilizoandikwa si…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Wahamiaji Haramu Wasakwa Mkoani Mbeya
ZOEZI la kuwasaka wahamiaji haramu na wageni wanaofanya kazi bila kibali limeendelea kufanikiwa mkoani Mbeya ambapo jumla ya wageni 20 wamekamatwa mkoani humo kutokana na makosa mbalimbali likiwemo…
Continue Reading....Prof Mbarawa Awabana TEMESA Kivuko cha Kigamboni
WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Prof. Makame Mbarawa amewataka Wakala wa Ufundi na Umeme nchini (TEMESA), kufunga mfumo kamili wa elekroniki katika kivuko cha…
Continue Reading....Waziri Mkuu Afanya Mazungumzo na Mabalozi wa Qatar na Kuwait
WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amekuatana na kufanya mazungumzo na mabalozi wawili kutoka nchi za Qatar na Kuwait. Akizungumza kwa nyakati tofauti na mabalozi…
Continue Reading....TTCL Yakopeshwa Dola Mil 22 na Benki ya Uwekezaji Tanzania
KAMPUNI ya Simu Tanzania TTCL na Benki ya TIB leo zimetiliana saini Mkataba wa makubaliano ya dhamana ya Benki na Mkopo wa Dola za Marekani…
Continue Reading....Naibu Waziri Fedha na Mipango Dk. Kijaji Aibana TRA Mbeya
Baadhi ya waandishi wa Habari Mkoani Mbeya wakiwa makini kumsikiliza Naibu waziri wa Fedha na Mipango Dkt Kishatu Kijaji katika ofisi za Mamlaka ya Mapato…
Continue Reading....