Wananchi wa Kata ya Mto wa Mbu iliyoko wilaya ya Monduli wako hatarini kukumbwa na baa la njaa kutokana na upepo mkali uliotokea jana majira…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
MHAGAMA Atembelea Shirika la Tija la Taifa (NIP)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Uratibu na Bunge; Kazi, Ajira, Vijana na Watu wenye Ulemavu, Mhe. Jenista Mhagama (Mb) akiweka saini kwenye…
Continue Reading....Kituo cha Utafiti RCRSDS Kuzindua Mfumo wa Kielektroniki wa Kukusanya, Kuhifadhi na Kuweka angani Taarifa za Kitafiti
Celina Mathew KITUO cha Utafiti wa shughuli za maendeleo ya jamii Tanzania(RCSDS), kinatarajia kuzindua mfumo wa kielektroniki wa kukusanya, kuhifadhi na kuweka angani taarifa za…
Continue Reading....MAJALIWA:Tujikite Kuimarisha Miundombinu ili Tukuze Uchumi
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amewataka watanzania kujikita katika kuimarisha miundombinu ili kukuza uchumi, kuimarika kwa miundombinu ya usafirishaji ni muhimu kwa shughuli mbalimbali mfano kilimo…
Continue Reading....Waziri Mkuu: Shirikianeni na Wawekezaji wa Nje
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa amewataka wadau wa Sekta ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano kushirikiana na wakezaji kutoka nchini Japan…
Continue Reading....Waziri Mbarawa Ajisalili Mfumo wa Mahudhurio ya Kieletroniki
Waziri wa Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa amezungumzia umuhimu wa taasisi zote za Serikali kuwa na mfumo wa mahudhurio kwa njia ya kielekroniki electronic…
Continue Reading....