Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 1,081

Category: Habari za Nyumbani

TFF wamtosa Basena, yamtaka kumalizana na Simba

Posted on: January 3, 2012January 3, 2012 - jomushi
TFF wamtosa Basena, yamtaka kumalizana na Simba

Na Mwandishi Wetu MALALAMIKO ya Kocha Moses Basena kwa TFF baada ya klabu yake ya Simba kusimamisha mkataba wake yaliwasilishwa mbele ya Kamati ya Sheria,…

Continue Reading....

TAWIRI yaagizwa kutafiti kutoweka kwa Palahala

Posted on: January 3, 2012 - jomushi
TAWIRI yaagizwa kutafiti kutoweka kwa Palahala

Na Mwandishi Wetu RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete ameiagiza taasisi ya utafiti wa wanyamapori (Tanzania Wildlife Research Institute – TAWIRI-) kutafiti…

Continue Reading....

Rais Kikwete apeleka rambirambi CCM

Posted on: January 3, 2012January 3, 2012 - jomushi
Rais Kikwete apeleka rambirambi CCM

Na Mwandishi Wetu RAIS wa Tanzania, Jakaya Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Wilson Mukama kuomboleza kifo cha Mwenyekiti…

Continue Reading....

Wabunge Dar wawakumbuka Wananchi wao!

Posted on: January 3, 2012 - jomushi
Wabunge Dar wawakumbuka Wananchi wao!

*Wampinga Dk Magufuli kupandisha nauli vivuko WABUNGE wa Mkoa wa Dar es Salaam wamepinga hatua ya Serikali kupitia Wizara ya Ujenzi kupandisha gharama ya kivuko…

Continue Reading....

Maisha 2012 hayashikiki-Watabiri

Posted on: January 3, 2012January 3, 2012 - jomushi
Maisha 2012 hayashikiki-Watabiri

IMETABIRIWA kuwa mwaka 2012 utakuwa mwaka mwengine mbaya kiuchumi kwa bara la Ulaya, ingawa ahuweni ya kiuchumi katika masoko yanayoinukia na Marekani huenda ikaufanya uchumi…

Continue Reading....

Mwanamuziki Senegal atangaza kugombea urais

Posted on: January 3, 2012January 3, 2012 - jomushi
Mwanamuziki Senegal atangaza kugombea urais

MWANAMUZIKI mashuhuri nchini Senegal na mwanaharakati wa kisiasa,Youssou N’dour, ametangaza kuwania kiti cha urais katika uchaguzi wa mwezi Februari nchini humo. Mwanamuziki huyo amesema kuwa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari