Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 1,076

Category: Habari za Nyumbani

Romney atwaa ushindi New Hampshire

Posted on: January 11, 2012 - jomushi
Romney atwaa ushindi New Hampshire

MITT Romney amepiga hatua ya kupata tiketi ya chama cha Republican baada ya kupata ushindi katika jimbo la New Hampshire. Romney amepiga hatua kupata tiketi…

Continue Reading....

Ikulu yapinga kuhusika ugawaji vitalu vya uwindaji

Posted on: January 11, 2012 - jomushi
Ikulu yapinga kuhusika ugawaji vitalu vya uwindaji

Na Mwandishi Maalumu IKULU imetoa taarifa ya kupinga taasisi hiyo nyeti nchini kuhusika na utaratibu wa ugawaji wa vitalu vya uwindaji. Gazeti la kila siku…

Continue Reading....

SMZ yasema itaendelea kuwaunga mkono wasanii wachoraji

Posted on: January 10, 2012 - jomushi
SMZ yasema itaendelea kuwaunga mkono wasanii wachoraji

Na Rajab Mkasaba, Ikulu Zanzibar SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar itaendelea kuwaunga mkono wasanii wa fani ya uchoraji wakiwemo vijana kwani hatua hiyo inachangia kuwajengea mazingira…

Continue Reading....

Rais Kikwete apokea hati za mabalozi

Posted on: January 10, 2012January 11, 2012 - jomushi
Rais Kikwete apokea hati za mabalozi

Na Mwandishi Maalumu RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete leo, Jumanne, Januari 10, 2012, amepokea hati za utambulisho kutoka kwa mabalozi watano…

Continue Reading....

Tendwa aishukia CUF

Posted on: January 10, 2012 - jomushi
Tendwa aishukia CUF

ASEMA ADHABU YA KUIADHARAU MAHAKAMA NI KUFUTWA, MTATIRO ASEMA ADHABU IKO PALEPALE MSAJILI wa Vyama vya siasa nchini, John Tendwa amekionya Chama cha Wananchi (CUF),…

Continue Reading....

Msanii Diamond na wenzake wafungwa miezi 6

Posted on: January 10, 2012January 10, 2012 - jomushi
Msanii Diamond na wenzake wafungwa miezi 6

MSANII nyota wa muziki wa Kizazi kipya nchini Naseeb Abdul a.k.a Diamond na wenzake jana mjini Iringa amehukumiwa kifungo cha miezi sita jela au kulipa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari