MITT Romney amepiga hatua ya kupata tiketi ya chama cha Republican baada ya kupata ushindi katika jimbo la New Hampshire. Romney amepiga hatua kupata tiketi…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Ikulu yapinga kuhusika ugawaji vitalu vya uwindaji
Na Mwandishi Maalumu IKULU imetoa taarifa ya kupinga taasisi hiyo nyeti nchini kuhusika na utaratibu wa ugawaji wa vitalu vya uwindaji. Gazeti la kila siku…
Continue Reading....SMZ yasema itaendelea kuwaunga mkono wasanii wachoraji
Na Rajab Mkasaba, Ikulu Zanzibar SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar itaendelea kuwaunga mkono wasanii wa fani ya uchoraji wakiwemo vijana kwani hatua hiyo inachangia kuwajengea mazingira…
Continue Reading....Rais Kikwete apokea hati za mabalozi
Na Mwandishi Maalumu RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete leo, Jumanne, Januari 10, 2012, amepokea hati za utambulisho kutoka kwa mabalozi watano…
Continue Reading....Tendwa aishukia CUF
ASEMA ADHABU YA KUIADHARAU MAHAKAMA NI KUFUTWA, MTATIRO ASEMA ADHABU IKO PALEPALE MSAJILI wa Vyama vya siasa nchini, John Tendwa amekionya Chama cha Wananchi (CUF),…
Continue Reading....Msanii Diamond na wenzake wafungwa miezi 6
MSANII nyota wa muziki wa Kizazi kipya nchini Naseeb Abdul a.k.a Diamond na wenzake jana mjini Iringa amehukumiwa kifungo cha miezi sita jela au kulipa…
Continue Reading....