Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo na Burudani
  • Page 99

Category: Michezo na Burudani

Kambi ya Stars Yavunjwa Baada ya Chad Kujitoa

Posted on: March 29, 2016 - Yohana Chance
Kambi ya Stars Yavunjwa Baada ya Chad Kujitoa

TIMU ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars imevunja kambi na wachezaji wameruhusiwa kurejea kwenye klabu zao. Tanzania ilikuwa icheze na Chad kesho Uwanja…

Continue Reading....

Mourinho Aanza Kazi Manchester United Kabla ya Kukabidhiwa Timu

Posted on: March 29, 2016 - Yohana Chance
Mourinho Aanza Kazi Manchester United Kabla ya Kukabidhiwa Timu

Meneja wa zamani wa Chelsea, Jose Mourinho anadaiwa kuanza kujipanga na Manchester United kama atachukua nafasi ya Louis van Gaal. Kwa mujibu wa jarida la…

Continue Reading....

TFF Yaguswa na Kifo cha Abel Dhaira

Posted on: March 28, 2016 - Yohana Chance
TFF Yaguswa na Kifo cha Abel Dhaira

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Malinzi ametuma salamu za rambirambi kwa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini Uganda (FUFA) kaufuatia…

Continue Reading....

Hivi Ndivyo Zlatan Anavyosakwa na Timu za Uingereza

Posted on: March 28, 2016 - Yohana Chance
Hivi Ndivyo Zlatan Anavyosakwa na Timu za Uingereza

Mshambuliaji matata wa timu ya taifa ya Sweden Zlatan Ibrahimovic amesema klabu kadha za Ligi Kuu ya Uingereza zinamtaka. Kwa sasa anachezea mabingwa wa ligi…

Continue Reading....

Waliokata Tiketi Mchezo wa Chad Kurudishiwa Mpunga Wao

Posted on: March 28, 2016 - Yohana Chance
Waliokata Tiketi Mchezo wa Chad Kurudishiwa Mpunga Wao

Mashabiki wa soka waliokuwa wamenunua tiketi za mechi kati ya timu ya taifa ya Tanzania na Chad ambayo imetibuka watarejeshewa fedha zao. Rais wa Shirikisho…

Continue Reading....

Timu ya Chad Yaingia Mitini, Ushindi wa Stars Waota Mbawa

Posted on: March 27, 2016 - Yohana Chance
Timu ya Chad Yaingia Mitini, Ushindi wa Stars Waota Mbawa

Timu ya Taifa ya Chad ‘Les Sao’ imejiondoa katika michuano ya kuwania kufuzu kwa Fainali za Mataifa Afrika (AFCON) itakayofanyika mwaka 2017 nchini Gabon. Taarifa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari