Timu ya taifa ya Tanzania vijana wenye umri chini ya miaka 17 ‘Serengeti Boys’ inatarajiwa kushiriki mashindano maalumu ya vijana wenye umri chini ya miaka…
Continue Reading....Category: Michezo na Burudani
TFF Yaweka Mkono wa Baraka kwa Yanga na Azam
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limezitakia kila la kheri timu za Azam FC na Yanga SC katika michezo yao ya kimataifa inayoandaliwa na…
Continue Reading....TP Mazembe Wakabiliwa na Kibarua Kigumu
klabu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo inakabiliwa na kibarua kigumu dhidi ya Wydad Casablanca ya Morocco katika jitihada zake za kutetea…
Continue Reading....Vardy Kitanzini Kwa Kumkaripia Mwamuzi
Mshambuliaji wa Leicester City Jamie Vardy amefunguliwa mashtaka ya utovu wa nidhamu na chama cha soka cha nchini England FA. Vardy alifanya vitendo vya utovu…
Continue Reading....Spurs Yashinda Nne Mtungi, Leicester City Wahaha
Klabu ya soka ya Tottenham wakicheza ugenini katika dimba la Brittania wameibuka na ushindi wa kishindo wa mabao 4-0 dhidi ya Stoke City. Mshambuliaji mahiri…
Continue Reading....Kichuya wa Mtibwa Awa Mchezaji Bora wa Mwezi
Mshambuliaji Shiza Ramadhan Kichuya wa timu ya Mtibwa Sugar ya Morogoro amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwezi Machi kwa Ligi Kuu ya Vodacom msimu huu…
Continue Reading....