Ligi kuu ya soka ya England inaendelea tena hapo kesho kwa michezo kadhaa. Everton ni wenyeji wa Bournemouth, Newcastle United wanawaalika Cristal Palace,Stoke city dhidi…
Continue Reading....Category: Michezo na Burudani
Kamati ya Nidhamu ya TFF Kukutana Kesho
KIKAO cha Kamati ya Rufaa ya Nidhamu ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kitafanyika Jumamosi Aprili 30, 2016 kuanzia saa 4.00 asubuhi kwenye ofisi za…
Continue Reading....Wadau wa Michezo Waishitaki ARFA Kwa BMT
Katibu Mkuu wa baraza la Michezo Tanzania (BMT) Mohamed Kiganja amekutana na wadau wa Michezo Mkoani hapa na kukuta Lundo la lawama zikielekezwa kwa Viongozi…
Continue Reading....Taekwondo Ilivyotikisha Jiji la Arusha
Mashindano ya Taekwondo yamefanyika mwishoni mwa Jijini Arusha yakishirikisha zaidi ya vijana 60 wa Rika mbalimbali kutoka Arusha na Mkoa wa Kilimanjaro Licha ya kuwepo…
Continue Reading....Atletico Madrid Watanguliza Mguu Mmoja Fainali ya UEFA
Klabui ya Atletico Madrid imefanikiwa kuibuka na ushindi wa bao 1 – 0 dhidi ya Bayern Munich katika mchezo wa Nusu fainali ya ligi mabingwa…
Continue Reading....Kamati ya Mashindano ya FA Imezipiga Faini Yanga na Coastal Union
Coastal Union imepoteza mechi ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho dhidi ya Yanga baada ya washabiki wake kuwa chanzo cha Mwamuzi kuvunja mchezo huo…
Continue Reading....