Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo na Burudani
  • Page 58

Category: Michezo na Burudani

FIFA Yaongeza Sheria 95 Mpya ya Soka

Posted on: June 1, 2016 - Yohana Chance
FIFA Yaongeza Sheria 95 Mpya ya Soka

Shirikisho la kabumbu la kimataifa FIFA limezifanyia marekebisho kanuni kadhaa za mchezo unaopendwa ulimwenguni wa dimba. Lengo ni kujaribu kuurahisisha mchezo huo. Siku kumi kabla…

Continue Reading....

Jangwani Watu Wamiminika Kuchukua Fomu

Posted on: June 1, 2016 - Yohana Chance
Jangwani Watu Wamiminika Kuchukua Fomu

Kamati ya Uchaguzi ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), iliyopewa jukumu la kusimamia uchaguzi wa Klabu ya Young Africans imeridhishwa na mwenendo wa wanachama kwa…

Continue Reading....

Wagaboni Wapewa Rungu la Kuamua kati ya Stars na Misri

Posted on: May 31, 2016 - Yohana Chance
Wagaboni Wapewa Rungu la Kuamua kati ya Stars na Misri

Waamuzi wanne kutoka Gabon, ndio watakochezesha mchezo wa kimataifa kati ya Taifa Stars ya Tanzania na Mapharao wa Misri utakaofanyika Jumamosi Juni 4, 2016 Uwanja…

Continue Reading....

Dogo wa Manchester United Apiga Mkataba wa Maisha

Posted on: May 31, 2016 - Yohana Chance
Dogo wa Manchester United Apiga Mkataba wa Maisha

Mshambulizi chipukizi wa Manchester United Marcus Rashford ametia sahihi mkataba mpya utakaohakikisha anasalia Old Trafford hadi Juni 2020. Chipukizi huyo mwenye umri wa miaka 18…

Continue Reading....

Lionel Messi Kupandishwa Kizimbani Kesho

Posted on: May 31, 2016May 31, 2016 - Yohana Chance
Lionel Messi Kupandishwa Kizimbani Kesho

Nyota wa Argentina Lionel Messi, mmoja wa wanamichezo wanaolipwa pesa nyingi zaidi duniani, anafikishwa kizimbani kesho mjini Barcelona kwa tuhuma za kuipunja Uhispania kwa kukwepa…

Continue Reading....

Mshambuliaji wa JKT Ruvu Awa Mchezaji Bora

Posted on: May 30, 2016 - Yohana Chance
Mshambuliaji wa JKT Ruvu Awa Mchezaji Bora

Mshambuliaji Abdulrahman Musa wa JKT Ruvu ameibuka mchezaji bora wa Ligi Kuu ya Vodacom kwa mwezi Mei 2016. Musa katika kinganyiro hicho aliwapiku Donald Ngoma…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari