TIMU za Abajalo, Ashanti United za Dar es Salaam zimepangwa pamoja na African Sports ya Tanga katika Kundi Ligi Daraja la kwanza Tanzania Bara. Bodi…
Continue Reading....Category: Michezo na Burudani
Greg Dyke Awapiga Mkwara UEFA
Mwenyekiti wa chama cha mpira cha Uingereza, Greg Dyke amewaandikia barua chama cha shirikisho la soka barani Ulaya,UEFA kutoa maelezo ya tija kuhusu mpangilio wa…
Continue Reading....Katika Copa America Brazil wametupwa nje ya mashindano hayo baada ya kufungwa bao 1-0. Bao la utata dhidi ya Peru kwenye Mechi yao ya mwisho…
Continue Reading....Switzerland Yapata Ushindi Mwembamba Euro
Switzerland imejipatia ushindi wake wa pili katika michuano ya bara Ulaya baada ya kuilaza Albania 1-0. Mapema Albania ilionekana kubabaika pale mlinda lango wao Etrit…
Continue Reading....Nigeria Wapata Pigo Lingine Kwenye Soka
Shirikisho la soka la Nigeria linasema kuwa mkurugenzi wa kiufundi ambaye pia alikuwa kocha wa zamani wa timu ya taifa Amodu Shuaibu, ameaga dunia akiwa…
Continue Reading....Bondia Muhammadi Azikwa Kama Mfalme
Maelfu ya watu wamemuaga aliyekuwa bondia shupavu Muhammad Ali nyumbani kwake katika mji wa Louisville huko Kentucky. Bondia wa Uingereza Amir Khan ambaye alikutana na…
Continue Reading....