Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo na Burudani
  • Page 52

Category: Michezo na Burudani

Mmiliki wa TP Mazembe Ahukumiwa Miaka Mitatu Jela

Posted on: June 22, 2016 - Yohana Chance
Mmiliki wa TP Mazembe Ahukumiwa Miaka Mitatu Jela

Mgombea urais wa upinzani nchini Jamhuri ya Demokrasi ya Congo Moise Katumbi, amehukumiwa kifungo cha miezi 36 jela kwa kununua nyumba kinyume cha sheria kwenye…

Continue Reading....

Kadabla Kustaafu Soka Baada ya Michuano ya Euro

Posted on: June 22, 2016 - Yohana Chance
Kadabla Kustaafu Soka Baada ya Michuano ya Euro

Nyota wa Sweden Zlatan Ibrahimovich ametangaza kwamba atastaafu katika soka ya kimataifa baada ya michuano ya Euro 2016. Taifa lake linakutana na Ubelgiji katika mechi…

Continue Reading....

Higuain Apiga Bao Mbili Mwenyewe Copa America

Posted on: June 22, 2016 - Yohana Chance
Higuain Apiga Bao Mbili Mwenyewe Copa America

Licha ya Kocha wa timu ya taifa ya Marekani Juergen Klinsmann kuwa na matumaini kwamba timu yake ingeweza kupata ushindi muhimu dhidi ya Argentina katika…

Continue Reading....

Hispania Yakiona cha Moto dhidi ya Croatia

Posted on: June 22, 2016 - Yohana Chance
Hispania Yakiona cha Moto dhidi ya Croatia

Timu ya Croatia imeichapa Hispania jumla ya magoli 2 – 1 katika mchezo wa kusisimua wa kundi D wa michuano ya Kombe la mataifa ya…

Continue Reading....

Ramsey Aipeleka Wales mbele Michuano ya Euro

Posted on: June 21, 2016 - Yohana Chance
Ramsey Aipeleka Wales mbele Michuano ya Euro

Timu ya Wales imefanikiwa kuilaza Urusi kwa mabao 3-0 katika mechi ya mwisho na muhimu ya makundi jana usiku. Aaron Ramsey na Neil Taylor na…

Continue Reading....

Giorgio Marchetti wa EUFA Asifu Michuano ya Euro

Posted on: June 21, 2016 - Yohana Chance
Giorgio Marchetti wa EUFA Asifu Michuano ya Euro

Ongezeko la timu hadi 24 katika kombe la Ulaya, Euro 2016 halijaathiri ubora wa mchezo licha ya kuwa michezo hii imeshuhudia magoli machache kuliko mashindano…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari