Kocha Kally Ongala ataendelea kubaki kuwa kocha mkuu wa Majimaji baada ya klabu hiyo baada ya kumpa mkataba mpya huku wakijiandaa kwa ajili ya msimu…
Continue Reading....Category: Michezo na Burudani
Enyimba Yaambulia Kichapo Kama Yanga
Klabu ya soka ya Mamelodi Sundowns ya Afrika kusini imeichabanga Enyimba ya Nigeria mabao 2-1 mjini Pretoria katika mchezo wa ligi ya mabingwa barani Afrika…
Continue Reading....Arsene Wenger Kumlithi Hodgson Uingereza
Mtendaji mkuu wa FA Martin Glenn,amesema kuwa kupatikana kwa kocha mpya kunaweza kuchukua miezi kadhaa,huku pia akimtaja meneja wa Arsenal,Arsene Wenger ambaye anaingia katika mwaka…
Continue Reading....Rais wa Argentina Amtaka Messi Atengue Kauli
Rais wa Argentina Mauricio Macri amemwita nyota wa soka wa nchi hiyo Lionel Messi kwa lengo la kumuomba atengue maamuzi yake ya kujiuzulu kucheza soka…
Continue Reading....Kocha wa Timu ya Taifa ya Uingereza Ajihudhuru
Saa chache tu baada ya timu ya kandanda ya Uingereza kuondolewa nje ya mashindano ya Euro 2016, Kocha wa Uingereza Roy Hodgson amejiuzulu wadhfa wake.…
Continue Reading....