Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo na Burudani
  • Page 47

Category: Michezo na Burudani

Hukumu Kesi ya Mwanariadha Oscar Kutolewa Leo

Posted on: July 6, 2016 - Yohana Chance
Hukumu Kesi ya Mwanariadha Oscar Kutolewa Leo

Mwanariadha mlemavu wa miguu wa Afrika Kusini Oscar Pistorius leo atafahamu iwapo atakwenda jela kwa kosa la mauaji ya mpenzi wake Reeva Steenkamp au la.…

Continue Reading....

Mourinho Aanza Kuibomoa Man United, Mata Asepa

Posted on: July 4, 2016 - Yohana Chance
Mourinho Aanza Kuibomoa Man United, Mata Asepa

Kiungo wa Manchester United Juan Mata, 28, anakaribia kujiunga na Everton baada ya tetesi kusema Zlatan Ibrahimovic, 34, amepewa namba ya jezi yake Manchester United…

Continue Reading....

Mourinho, Guardiola Wanavyopishana Katika Jiji la Manchester

Posted on: July 4, 2016July 4, 2016 - Yohana Chance
Mourinho, Guardiola Wanavyopishana Katika Jiji la Manchester

Baada ya Kutambulishwa lasmi Kocha Pep Guardiola katika klabu yake mpya ya Manchester City baada ya kuhamia kutoka Bayern Munich ya Ujerumani, aliyojiunga nayo mwaka…

Continue Reading....

Ufaransa Yaifanyia Kufuru Iceland

Posted on: July 4, 2016 - Yohana Chance
Ufaransa Yaifanyia Kufuru Iceland

Ufaransa imeilaza Iceland kwa mabao 5-2 na mawameondoka katika Euro lakini kwa hakika watabaki katika vinywa vya wapenzi wa Soka. Nahodha wao Aron Gunnarsson amesema…

Continue Reading....

Soko Lachafuka Arsenal, Man City, Chelsea Wavuta Vifaaa Vipya

Posted on: July 4, 2016 - Yohana Chance
Soko Lachafuka Arsenal, Man City, Chelsea Wavuta Vifaaa Vipya

Arsenal wamekubali kumsajili mshambulizi chipukizi kutoka Japan Takuma Asano. Mshambulizi huyo mwenye umri wa miaka 21 amejiunga na the Gunners akitokea klabu ya nyumbani ya…

Continue Reading....

Ona Manchester United na Man City Wanavyokimbizana Sokoni

Posted on: July 2, 2016 - Yohana Chance
Ona Manchester United na Man City Wanavyokimbizana Sokoni

Manchester City imemsajili mshambuliaji wa Uhispania Nolito kutoka kilabu ya Celta Vigo kwa pauni milioni 13.8. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 29 ameweka kandarasi…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari