Mwanariadha mlemavu wa miguu wa Afrika Kusini Oscar Pistorius leo atafahamu iwapo atakwenda jela kwa kosa la mauaji ya mpenzi wake Reeva Steenkamp au la.…
Continue Reading....Category: Michezo na Burudani
Mourinho Aanza Kuibomoa Man United, Mata Asepa
Kiungo wa Manchester United Juan Mata, 28, anakaribia kujiunga na Everton baada ya tetesi kusema Zlatan Ibrahimovic, 34, amepewa namba ya jezi yake Manchester United…
Continue Reading....Mourinho, Guardiola Wanavyopishana Katika Jiji la Manchester
Baada ya Kutambulishwa lasmi Kocha Pep Guardiola katika klabu yake mpya ya Manchester City baada ya kuhamia kutoka Bayern Munich ya Ujerumani, aliyojiunga nayo mwaka…
Continue Reading....Ufaransa Yaifanyia Kufuru Iceland
Ufaransa imeilaza Iceland kwa mabao 5-2 na mawameondoka katika Euro lakini kwa hakika watabaki katika vinywa vya wapenzi wa Soka. Nahodha wao Aron Gunnarsson amesema…
Continue Reading....Soko Lachafuka Arsenal, Man City, Chelsea Wavuta Vifaaa Vipya
Arsenal wamekubali kumsajili mshambulizi chipukizi kutoka Japan Takuma Asano. Mshambulizi huyo mwenye umri wa miaka 21 amejiunga na the Gunners akitokea klabu ya nyumbani ya…
Continue Reading....Ona Manchester United na Man City Wanavyokimbizana Sokoni
Manchester City imemsajili mshambuliaji wa Uhispania Nolito kutoka kilabu ya Celta Vigo kwa pauni milioni 13.8. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 29 ameweka kandarasi…
Continue Reading....