Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo na Burudani
  • Page 42

Category: Michezo na Burudani

Hii Vita ya Kumpata Nani Bora Huwa Haina Mwamuzi

Posted on: July 19, 2016July 19, 2016 - Yohana Chance
Hii Vita ya Kumpata Nani Bora Huwa Haina Mwamuzi

Shirikisho la soka barani Ulaya limetangaza majina ya wachezaji 10 watakaowania tuzo ya mchezaji bora Ulaya kwa msimu wa mwaka 2015/2016, majina hayo 10 yametangazwa…

Continue Reading....

Soma Washindi wa Tuzo za Ligi Kuu Tanzania Bara

Posted on: July 18, 2016 - Yohana Chance
Soma Washindi wa Tuzo za Ligi Kuu Tanzania Bara

BEKI wa Yanga, Juma Abdul Jaffar Mnyamani ameshinda tuzo ya Mchezaji Bora wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara msimu wa 2015/2016. Katika sherehe za…

Continue Reading....

Utamu wa Ligi Kuu Uhispania Umerejea Tena

Posted on: July 18, 2016 - Yohana Chance
Utamu wa Ligi Kuu Uhispania Umerejea Tena

Ligi kuu ya Hispania inatarajiwa kuanza Agosti 21 kwa Mabingwa Watetezi FC Barcelona kucheza na Real Betis na Mabingwa wa Ulaya Real Madrid kuanza na…

Continue Reading....

FIFA Yazisaidia Vilabu Kupata Udhamini Mnono

Posted on: July 18, 2016 - Yohana Chance
FIFA Yazisaidia Vilabu Kupata Udhamini Mnono

Shirikisho la soka Ulimwenguni (FIFA) limetoa Ratiba ya Kombe la Dunia kwa Klabu ambalo litadhaminiwa na Alibaba E-Auto na kufanyika huko Japan kati ya Desemba…

Continue Reading....

Demba Ba Avunjika Mguu, Matatani Kurudi Dimbani

Posted on: July 18, 2016 - Yohana Chance
Demba Ba Avunjika Mguu, Matatani Kurudi Dimbani

Mshambulizi wa zamani wa klabu ya Chelsea ya Uingereza Demba Ba amevunjika mguu akiwa uwanjani katika mechi ya ligi kuu ya Uchina. Raia huyo wa…

Continue Reading....

Ubelgiji Yatimua Meneja Wao, Shevchenko Apata Dili

Posted on: July 16, 2016 - Yohana Chance
Ubelgiji Yatimua Meneja Wao, Shevchenko Apata Dili

Ubelgiji imefuta kocha wa timu ya taifa Marc Wilmots baada ya timu yake iliyopigiwa upatu na yenye wachezaji wengi nyota kushindwa kusonga mbele zaidi ya…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari