Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo na Burudani
  • Page 34

Category: Michezo na Burudani

Barcelona Wakiona Cha Moto Kwa Liverpool

Posted on: August 7, 2016 - Yohana Chance
Barcelona Wakiona Cha Moto Kwa Liverpool

Sadio Mane aliifungia Liverpool bao lake la kwanza walipowabana vigogo wa Uhispania Barcelona 4-0 katika mechi ya kirafiki huko Wembley. Mane hakuogopa kuwepo kwa wachezaji…

Continue Reading....

Manchester United Waanza Msimu kwa Kubebea Ndoo

Posted on: August 7, 2016August 7, 2016 - Yohana Chance
Manchester United Waanza Msimu kwa Kubebea Ndoo

Klabu ya Manchester United Wameanza vyema msimu wa ufunguzi wa Ligi baada ya Kuisambaratisha Leicester city kwenye Mchezo wa ngao ya Jamii Uwanja wa Wembley…

Continue Reading....

Manchester United Wamalizana na Juve Juu ya Pogba

Posted on: August 7, 2016 - Yohana Chance
Manchester United Wamalizana na Juve Juu ya Pogba

Klabu ya Juventus ya Italia imemruhusu mshambulizi wake Paul Pogba kufanyiwa vipimo vya afya Old Trafford katika moja ya ishara kuwa huenda Manchester United imeafikiana…

Continue Reading....

Serengeti Boys Wakomaa Sauzi na Kutoa Sare

Posted on: August 6, 2016 - Yohana Chance
Serengeti Boys Wakomaa Sauzi na Kutoa Sare

Timu ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 17 ‘Serengeti Boys’ imefanikiwa kupata sare ya goli 1-1 dhidi ya timu ya vijana ya…

Continue Reading....

Marekani Waanza Kubeba Medali za Olimpiki

Posted on: August 6, 2016 - Yohana Chance
Marekani Waanza Kubeba Medali za Olimpiki

Mmarekani Ginny Thrasher amekuwa mwanamichezo wa kwanza kushinda dhahabu katika Michezo ya Olimpiki Rio baada ya kutwaa ushindi katika shindano la kulenga shahaba kwa bunduki…

Continue Reading....

Azam Fc Wavuta Vifaa Vipya Kuimalisha Ulinzi

Posted on: August 6, 2016 - Yohana Chance
Azam Fc Wavuta Vifaa Vipya Kuimalisha Ulinzi

KLABU Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati Azam FC, leo jioni imeingia mkataba na mabeki wawili, Mghana Daniel Amoah na Mzimbabwe, Bruce Kangwa, kwa ajili…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari