Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo na Burudani
  • Page 323

Category: Michezo na Burudani

Azam FC ziarani Uganda, Rwanda

Posted on: August 5, 2011 - jomushi
Azam FC ziarani Uganda, Rwanda

TIMU ya Azam FC inatarajia kuondoka Jumatatu mchana na ndege ya Shirika la Ndege la Uganda kuelekea nchini Uganda na baadae Rwanda kukamilisha ziara yake…

Continue Reading....

RUFANI YA SHINYANGA UNITED YATOLEWA UAMUZI

Posted on: August 4, 2011 - jomushi
RUFANI YA SHINYANGA UNITED YATOLEWA UAMUZI

KAMATI ya Nidhamu na Usuluhishi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) chini ya Mwenyekiti wake Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Mstaafu Alfred Tibagana…

Continue Reading....

Poulsen awaita 20 kuunda Stars

Posted on: August 4, 2011August 4, 2011 - jomushi
Poulsen awaita 20 kuunda Stars

KOCHA Mkuu wa Taifa Stars, Jan Poulsen ametangaza kikosi cha wachezaji 20 kwa ajili ya mechi ya kirafiki ugenini inayochezwa kwenye tarehe zinazotambuliwa na Shirikisho…

Continue Reading....

Taswa waandaa bonaza la michezo miaka 50 ya uhuru

Posted on: August 4, 2011 - jomushi
Taswa waandaa bonaza la michezo miaka 50 ya uhuru

CHAMA cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA) kimeandaa bonanza maalum la kuwapongeza wanamichezo mbalimbali waliopata kuiletea sifa nchi katika kipindi cha miaka 50…

Continue Reading....

Rihanna, akiwa kwao huko Barbados katika sherehe za “Kadooment Day parade”

Posted on: August 4, 2011August 4, 2011 - kizungumkuti
Rihanna, akiwa kwao huko Barbados katika sherehe  za “Kadooment Day parade”

Continue Reading....

Ratiba ya Ligi Kuu ya Vodacom mzunguko wa kwanza

Posted on: August 2, 2011 - jomushi
Ratiba ya Ligi Kuu ya Vodacom mzunguko wa kwanza

Kupata ratiba ya Ligi Kuu ya Vodacom mzunguko wa kwanza BOFYA HAPA;- Ratiba Ligi Kuu ya Vodacom

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari