Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo na Burudani
  • Page 315

Category: Michezo na Burudani

Ngoma Africa Band yasumbua ughaibuni

Posted on: December 5, 2012December 5, 2012 - jomushi
Ngoma Africa Band yasumbua ughaibuni

Mwaka 2012 ndio unakwisha na Mzimu wa “Bongo Dansi ” unaendelea kusumbua vichwa Ughaibuni ! Hakuna mashaka yeyote unapoutaja muziki wa Tanzania katika Nyanja za…

Continue Reading....

Tenga, Wizara Wateta Kuzuiwa kwa Akaunt ya TFF

Posted on: November 28, 2012November 28, 2012 - jomushi
Tenga, Wizara Wateta Kuzuiwa kwa Akaunt ya TFF

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) lina imani kuwa mazungumzo kati yake, Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo na Mamlaka ya Mapato Tanzania…

Continue Reading....

Mchekeshaji Sharo Bilionea Afariki Dunia

Posted on: November 27, 2012November 27, 2012 - jomushi
Mchekeshaji Sharo Bilionea Afariki  Dunia

Msanii wa vichekesho Husiein Ramadhan maalufu kama Sharo bilione amefariki katika ajali ya gari iliyotokea katika sehemu ya maguzoni wilaya ya Muhesa jijini tanga akitokea…

Continue Reading....

Pongezi kwa Uongozi Mpya SHIREFA

Posted on: October 29, 2012 - jomushi
Pongezi kwa Uongozi Mpya SHIREFA

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) linatoa pongezi kwa uongozi mpya wa Chama cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Shinyanga (SHIREFA) uliochaguliwa katika uchaguzi…

Continue Reading....

Super Sport Yaitangaza Tanzania Kimataifa katika Medani za Michezo

Posted on: September 28, 2012September 28, 2012 - jomushi
Super Sport Yaitangaza Tanzania Kimataifa katika Medani za Michezo

  Meneja Mkuu wa Multichoice Tanzania Bw. Peter Fauel akifafanua ujio wa Super Sport nchini Tanzania na kuipongeza TFF kwa kuonyesha ushirikiano na kuwa Chaneli…

Continue Reading....

CHEKA, KALAMA Kuzichapa Septemba 29, PTA Sabasaba

Posted on: September 28, 2012 - jomushi
CHEKA, KALAMA Kuzichapa Septemba 29, PTA Sabasaba

MIAMBA ya masumbwi nchini, bingwa wa Mabara Francis Cheka [SMG] na aliyekuwa bingwa wa Dunia Karama Nyilawila [Kapten] wanatarajia kupanda ulingoni Jumamosi mwaka huu kuoneshana…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari