SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limesitisha ukamishna wa Hafidh Ali. Uamuzi huo umefanywa na Kamati ya Mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika…
Continue Reading....Category: Michezo na Burudani
Kalunde Bend na Onesho la Valentine Trinit Oysterbay
Mkurugenzi wa Bendi ya Kalunde Deo Mwanambilimbi akiimba huku wacheza shoo wa bendi hiyo Kushoto ni Queen Vero na kulia ni Frola Bamboocha wakati wa…
Continue Reading....IBF Watoa Kibali cha Mpambano wa Cheka na Mashali
SHIRIKISHO la Ngumi la Kimataifa Afrika (IBF/Africa) limetoa kibali kwa bondia Francis Cheka ambaye ni bingwa wa Africa katika uzito wa Super Middle kutetea ubingwa…
Continue Reading....TFF Yasitisha Zoezi la Kampeni
1. KAMATI ya Uchaguzi, kwa mamlaka iliyonayo kupitia Kanuni za Uchaguzi za TFF Ibara ya 3(1), 6(1) (g) na (l), 10(5), 11(6) inayosomeka pamoja na…
Continue Reading....Uchaguzi FRAT Kufanyika Feb 14
Uchaguzi wa viongozi wa Chama cha Waamuzi wa Mpira wa Miguu Tanzania (FRAT) unafanyika Februari 14 mwaka huu mjini Morogoro kama ulivyopangwa, tofauti na taarifa…
Continue Reading....