Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo na Burudani
  • Page 304

Category: Michezo na Burudani

Waamuzi Kutoka Comoro Kuchezesha Mechi ya Azam

Posted on: April 2, 2013 - jomushi
Waamuzi Kutoka Comoro Kuchezesha Mechi ya Azam

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limeteua waamuzi watakaochezesha mechi ya marudiano ya Kombe la Shirikisho kati ya Azam na Barrack Young Controllers II…

Continue Reading....

Nne Zaingia Hatua ya Tatu Guinness Football Challenge Wiki Hii

Posted on: April 1, 2013April 1, 2013 - jomushi
Nne Zaingia Hatua ya Tatu Guinness Football Challenge Wiki Hii

JUMATATU iliyopita (Machi 28, 2013) kupitia televisheni za ITV na Clouds TV mashindano ya GUINNESSĀ® FOOTBALL CHALLENGEā„¢ yalituonesha ni kwanini ushirikiano ni muhimu kwa washiriki…

Continue Reading....

Mshindi wa Pambano la Omar na Madilu Kucheza Uphilipino

Posted on: April 1, 2013 - jomushi
Mshindi wa Pambano la Omar na Madilu Kucheza Uphilipino

MSHINDI kati ya mabondia ya Issa Omar (peche boy) na Shaban Madilu wanaotarajia kucheza Aprili 7 jijini Dar es Salaam, ambaye pia atatawazwa kuwa Bingwa…

Continue Reading....

Warembo Fainali za Miss Utalii Tanzania Washindania Tuzo

Posted on: March 28, 2013 - jomushi
Warembo Fainali za Miss Utalii Tanzania Washindania Tuzo

FAINALI za Utalii Tanzania zimeendelea kushika kasi kwa warembo kushindania Tuzo mbalimbali za Utalii, Utamaduni, Jamii na za Kuichumi. Jana lilifanyika Shindano la kumpata Mshindi…

Continue Reading....

Bigright Promotion na Mikakati ya Kukuza Bondia

Posted on: March 28, 2013 - jomushi
Bigright Promotion na Mikakati ya Kukuza Bondia

KAMPUNI changa ya Bigright Promotion inaanzisha mkakati wa kuwapiganisha mabondia kuwania mikanda au kutetea mikanda yao isipotee. Taarifa hiyo imetolewa na Ibrahim Kamwe ambaye ni…

Continue Reading....

Kenya Yapigania Nafasi ya Ushindi Mashindano ya Guinness Football Challenge

Posted on: March 28, 2013March 28, 2013 - jomushi
Kenya Yapigania Nafasi ya Ushindi Mashindano ya Guinness Football Challenge

*Timu nne zaingia kwenye kipindi cha tatu wiki ijayo MACHI 28, 2013, Dar es Salaam; Jana usiku kupitia Televisheni za ITV na Clouds TV mashindano…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari