Mwanamuziki mkongwe wa Bongo Fleva, Dully Sykes Jana nilitembelea mtandao wa Ankal Michuzi (ndio wana Blogu huwa tunatembeleana kubadilishana uzoefu -:))na baada ya kupita hapa…
Continue Reading....Category: Michezo na Burudani
Redds’s Miss Ilala Talent Kufanyika Leo
Na Mwandishi Wetu KATIKA Kuelekea Redds Miss Ilala Ijumaa, leo kutakuwa na shindano la kumtafuta mrembo mwenye kipaji (Talent) itakayofanyika katika mgahawa wa City Sports…
Continue Reading....Msajili wa Michezo Aisajili Katiba ya TFF
RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Leodegar Tenga amemshukuru Msajili wa Klabu na Vyama vya Michezo nchini kwa kusajili Katiba ya TFF…
Continue Reading....Mtanzania Aibuka Bingwa Kuruka Kamba Duniani
Na Jennifer Chamila-MAELEZO KIJANA wa Kitanzania Hamisi Kondo ameibuka mshindi wa dunia katika mashindano ya kuruka kamba yaliyofanyika nchini Marekani Julia 5 hadi Julai 13…
Continue Reading....Mrembo Sylona Atwaa Taji la Redd’s Miss Temeke 2013
Na Mwandishi Wetu MREMBO Sylona Nyameyo jana usiku alifanikiwa kutwaa taji la Redd’s Miss Temeke lililofanyika katika Ukumbi wa TCC Changombe, jijini Dar es Salaam.…
Continue Reading....