Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo na Burudani
  • Page 286

Category: Michezo na Burudani

CAF Yampongeza Jamal Malinzi kwa Kuukwaa Urais TFF

Posted on: October 31, 2013 - jomushi
CAF Yampongeza Jamal Malinzi kwa Kuukwaa Urais TFF

RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF), Issa Hayatou amempongeza Jamal Malinzi kwa kuchaguliwa kuwa Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania…

Continue Reading....

Prof. Elisante Ole Gabriel Awaasa Wasanii Kutumia Fursa za Mikopo

Posted on: October 30, 2013 - jomushi
Prof. Elisante Ole Gabriel Awaasa Wasanii Kutumia Fursa za Mikopo

Na Magreth Kinabo – MAELEZO NAIBU Katibu Mkuu wa Wizara ya Vijana, Utamaduni na Michezo, Profesa Elisante Ole Gabriel amewataka wasanii nchini kutumia Mfuko wa…

Continue Reading....

Mechi ya Azam FCna Simba Yaingiza Milioni 64/-

Posted on: October 30, 2013 - jomushi
Mechi ya Azam FCna Simba Yaingiza Milioni 64/-

PAMBANO la Ligi Kuu ya Vodacom kati ya Simba na Azam lililochezwa jana (Oktoba 28 mwaka huu) Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam limeingiza sh.…

Continue Reading....

CCM Yampongeza Tenga na Jamal Malinzi

Posted on: October 30, 2013 - jomushi
CCM Yampongeza Tenga na  Jamal Malinzi

  CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimempongeza Rais Mstaafu wa Shirikisho la Mpira nchini (TFF) Leodegar Tenga kwa uongozi wa kupigiwa mfano uliowezesha kuleta mapinduzi katika…

Continue Reading....

Kikwete Apongeza Uongozi Mpya Ulioingia Madarakani TFF

Posted on: October 28, 2013 - jomushi
Kikwete Apongeza Uongozi Mpya Ulioingia Madarakani TFF

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete ameupongeza uongozi mpya wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) chini ya Rais wake, Bwana Jamal…

Continue Reading....

Angella Karashani ‘Kikaangoni’ Tusker Project Fame 6

Posted on: October 28, 2013 - jomushi
Angella Karashani ‘Kikaangoni’ Tusker Project Fame 6

  Elisha Maghiya (Hisia) akimiliki jukwaa katika kipindi cha tatu cha Tusker Project Fame msimu wa sita huku akiimba kibao cha `Here I Stand’ chake…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari