USAJILI wa wachezaji kwa dirisha dogo kwa msimu wa 2013/2014 Tanzania Bara unafunguliwa Novemba 15 mwaka huu na utafungwa rasmi Desemba 15 mwaka huu. …
Continue Reading....Category: Michezo na Burudani
Tanzanite Yaiaibisha Msumbiji, Yaipiga 15-1
TIMU ya Taifa ya wanawake chini ya miaka 20 (Tanzanite) imefuzu kucheza raundi ya pili ya michuano ya Kombe la Dunia kwa ushindi wa jumla…
Continue Reading....Tanzanite Watua Salama Maputo, Kombe la Uhai Nov 17
KIKOSI cha timu ya Taifa ya wanawake chini ya miaka 20 (Tanzanite) kimewasili salama jijini Maputo, Msumbiji tayari kwa mechi ya marudiano ya raundi ya…
Continue Reading....TFF Yataka Orodha ya Waliosamehewa na Msamaha wa Malinzi
SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetuma waraka kwa vyama vya mpira wa miguu vya wilaya, mikoa na vyama shiriki kuvitaka kuwasilisha orodha ya…
Continue Reading....Ashanti Utd na Simba Kuumana Kesho
MECHI za kukamilisha mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) zinaanza kesho (Novemba 6 mwaka huu) ambapo Ashanti United itakuwa mwenyeji wa Simba…
Continue Reading....Tanzania Students Beach Soccer Tournament 2013
TANZANIA students Beach Soccer League ni mcheo wa mpira wa miguu ambao unachezwa kwenye fukwe za bahari ambayo itakusanya timu za vyuo vikuu zote na…
Continue Reading....