Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo na Burudani
  • Page 282

Category: Michezo na Burudani

Jamal Malinzi Atangaza Kamati Ndogondogo za TFF

Posted on: November 23, 2013 - jomushi
Jamal Malinzi Atangaza Kamati Ndogondogo za TFF

RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Malinzi ametangaza wajumbe wa kamati ndogongo (standing committees) wakati zile za haki (judicial organs) na…

Continue Reading....

Kikosi cha Zimbabwe Kutua Mchana Dar Kuikabili Taifa Stars

Posted on: November 18, 2013 - jomushi
Kikosi cha Zimbabwe Kutua Mchana Dar Kuikabili Taifa Stars

KIKOSI cha Zimbabwe kinawasili leo mchana (Novemba 18 mwaka huu) kuikabili Taifa Stars katika mechi ya Kalenda ya Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu…

Continue Reading....

Sensei Rumadha Fundi Azidi Kuwaimarisha Wapiga Karate Marekani

Posted on: November 18, 2013 - jomushi
Sensei Rumadha Fundi Azidi Kuwaimarisha Wapiga Karate Marekani

MTAALAMU wa michezo ya Karate na Yoga Mtanzania Sensei Rumadha Fundi siku ya jumamosi  November 16, 2013. Alitoa semina maalum ya mafunzo kuimarisha viungo kutumia vifaa…

Continue Reading....

Taifa Stars Sasa Kukipiga na Zimbabwe, Kiingilio Shs 5,000

Posted on: November 17, 2013 - jomushi
Taifa Stars Sasa Kukipiga na Zimbabwe, Kiingilio Shs 5,000

TAIFA Stars sasa inacheza na Zimbabwe mechi ya Kalenda ya Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA)- FIFA Date itakayofanyika keshokutwa Jumanne (Novemba 19…

Continue Reading....

Malinzi Kuzinduwa Michuano ya Uhai 2013

Posted on: November 16, 2013 - jomushi
Malinzi Kuzinduwa Michuano ya Uhai 2013

RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Malinzi atafungua rasmi michuano ya vijana wenye umri wa chini ya miaka 20 (U20) kwa…

Continue Reading....

Ngoma Africa Band Kutumbuiza Mjini Bremen, Ujerumani

Posted on: November 16, 2013 - jomushi
Ngoma Africa Band Kutumbuiza Mjini Bremen, Ujerumani

BENDI maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya “Ngoma Africa band” a.k.a FFU watarajiwa kutumbuiza usiku wa jumamosi 23.November 2013 katika ukumbi wa Übersee-Museum mjini Bremen,…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari