Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo na Burudani
  • Page 281

Category: Michezo na Burudani

Kikosi cha Afrika Kusini Kutua Dar Kuivaa Tanzanite

Posted on: December 3, 2013 - jomushi
Kikosi cha Afrika Kusini Kutua Dar Kuivaa Tanzanite

KIKOSI cha Afrika Kusini kwa ajili ya mechi ya mchujo ya Kombe la Dunia kwa wasichana wenye umri chini ya miaka 20 dhidi ya Tanzania…

Continue Reading....

Taarifa Anuai Kutoka TFF Novemba 26, 2013

Posted on: November 26, 2013 - jomushi
Taarifa Anuai Kutoka TFF Novemba 26, 2013

Pambano la Tanzanite Sasa Kufanyika Dar MECHI ya kwanza ya raundi ya michuano ya Kombe la Dunia, Kanda ya Afrika kwa wanawake chini ya miaka…

Continue Reading....

FFU wa Ngoma Africa Band Waliteka Jiji la Bremen!

Posted on: November 25, 2013 - jomushi
FFU wa Ngoma Africa Band Waliteka Jiji la Bremen!

Bremen, Ujerumani BENDI maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa band aka FFU ughaibuni, usiku tarehe 23 Novemba 2013 walifanikiwa kwa mara nyingine…

Continue Reading....

Kilimanjaro Stars Kuagwa Kesho

Posted on: November 24, 2013 - jomushi
Kilimanjaro Stars Kuagwa Kesho

KIKOSI cha Kilimanjaro Stars kinaagwa kesho (Novemba 25 mwaka huu) tayari kwa safari ya Nairobi, Kenya kushiriki michuano ya Kombe la Chalenji inayoanza kutimua vumbi…

Continue Reading....

Rage Aigomea TFF, Akifananisha Kikao Kilichomsimamisha na cha Harusi

Posted on: November 24, 2013 - jomushi
Rage Aigomea TFF, Akifananisha Kikao Kilichomsimamisha na cha Harusi

Na Mwandishi Wetu, MWENYEKITI wa klabu ya soka ya Simba, Ismail Aden Rage ameligomea Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kuitisha Mkutano Mkuu wa…

Continue Reading....

TFF Yaingilia Simba, Yamtaka Rage Aitishe Mkutano

Posted on: November 23, 2013 - jomushi
TFF Yaingilia Simba, Yamtaka Rage Aitishe Mkutano

MWENYEKITI wa Simba, Ismail Aden Rage ameagizwa kuitisha Mkutano Mkuu wa Dharura wa klabu ndani ya siku 14 kuanzia sasa. Shirikisho la Mpira wa Miguu…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari