Category: Michezo na Burudani
Vyama vya Ngumi za Kuliwa Vyaungana
VYAMA vya ngumi za kulipwa nchini vimekubali kuungana na wenzao wa TPBO kushiriki mkutano wa mapromota wa ngumi na mabondia wote wa Tanzania. Mkutano huo unaotarajiwa kufanyika…
Continue Reading....Bondia King Class Mawe Asaini Kuzipiga na Cheka
BONDIA Bora wa mwaka 2013/14 katika uzito wa KG 63, Ibrahimu Class ‘King Class Mawe’ ame saini mkataba wa kupambana na Cosmas Cheka Feb 8, 2014…
Continue Reading....Madaktari VPL Kuwasilisha Vyeti TFF
MADAKTARI wote wa timu za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kupitia klabu zao wanatakiwa kuwasilisha vyeti pamoja na wasifu wao (CV) kwa Shirikisho la Mpira…
Continue Reading....TFF Yazinadi Tiketi za Elektroniki Mechi za Ligi Kuu
MAUZO ya tiketi za elektroniki kwa mechi tatu kati ya nne za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) zitakazochezwa Januari 27 mwaka huu tayari yameanza, hivyo wanatakiwa…
Continue Reading....Mechi za Yanga Simba Zaingiza Milioni 139.8
MECHI za Ligi Kuu ya Vodacom zilizohusisha timu za Simba na Yanga na kuchezwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam wikiendi zimeingiza jumla ya sh.…
Continue Reading....