Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo na Burudani
  • Page 255

Category: Michezo na Burudani

Washindi Mbio za Tigo Ngorongoro Wazawadiwa

Posted on: April 21, 2014 - jomushi
Washindi Mbio za Tigo Ngorongoro Wazawadiwa

Kaimu Mhifadhi wa Mbuga ya Ngorongoro, Bw. Amio Amio ambaye aliyemwakilisha mgeni rasmi katika uzinduzi wa Mbio za Tigo Ngorongoro zilizofanyika jana Aprili 19, 2014…

Continue Reading....

Vijana Shindano la Tanzania Movie Talents Mkoani Mbeya Wachujwa

Posted on: April 19, 2014 - jomushi
Vijana Shindano la Tanzania Movie Talents Mkoani Mbeya Wachujwa

 Mshiriki wa Tanzania Movie Talents akihojiwa mara baada ya kumaliza usaili katika Shindano la Tanzania Movie Talents linaloendelea muda huu katika Ukumbi wa Benjamin Mkapa…

Continue Reading....

Wachezaji 19 Watajwa Kuunda Taifa Stars, Beach Soccer Yaiva…!

Posted on: April 19, 2014 - jomushi
Wachezaji 19 Watajwa Kuunda Taifa Stars, Beach Soccer Yaiva…!

KOCHA Msaidizi wa Taifa Stars, Salum Mayanga ametangaza wachezaji wengine 23 watakaoingia kambini kesho (Aprili 20 mwaka huu) kuungana na 16 waliotajwa awali kujiandaa kwa…

Continue Reading....

Azam FC Kukabidhiwa Kombe Kesho, Yanga na Simba Patashika…!

Posted on: April 18, 2014April 18, 2014 - jomushi
Post Tags: Azam FC
Azam FC Kukabidhiwa Kombe Kesho, Yanga na Simba Patashika…!

MICHUANO ya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kuwania ubingwa wa Tanzania Bara inafikia tamati kesho (Aprili 19 mwaka huu) kwa timu zote 14 kuwa viwanjani,…

Continue Reading....

Miyeyusho na Matumla Kuzipiga Mei 10

Posted on: April 17, 2014April 18, 2014 - jomushi
Post Tags: Matumla

MPAMBANO wa masumbwi wa bondia Fransic Miyeyusho na Mohamed Matumla sasa utafanyika Mei 10 katika ukumbi wa PTA Sabasaba mpambano huo uliokuwa ufanyike Aprili 26…

Continue Reading....

Kanda ya Kati Yawapata Wawakilishi Shindano la Kusaka Vipaji vya Kuigiza

Posted on: April 17, 2014 - jomushi
Kanda ya Kati Yawapata Wawakilishi Shindano la Kusaka Vipaji vya Kuigiza

Na Josephat Lukaza wa Proin Promotions Limited – Dodoma HII ni baada ya washindi watatu kutoka Kanda ya Kati kupatikana katika shindano la kusaka vipaji…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari