Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo na Burudani
  • Page 254

Category: Michezo na Burudani

Jhikoman Awasili Finland Tayari kwa Kazi

Posted on: April 25, 2014 - jomushi
Jhikoman Awasili Finland Tayari kwa Kazi

MWANAMUZIKI maarufu wa Reggae Afrika Mashariki, Jhikoman na mzuka wake wa Afrikabisa Band kutoka Mjini Bagamoyo, Tanzania ameshawasili nchini Finland kwa ziara ya miezi mitatu…

Continue Reading....

Mkenya Anthony Ogwayo Kuzichezesha Taifa Stars na Burundi

Posted on: April 25, 2014 - jomushi
Mkenya Anthony Ogwayo Kuzichezesha Taifa Stars na Burundi

MWAMUZI Anthony Ogwayo mwenye beji ya Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) kutoka Kenya ndiye atakayechezesha mechi kati ya Tanzania (Taifa Stars) na…

Continue Reading....

Timu ya Taifa Burundi Kuwasili Kesho Kuikabili Stars

Posted on: April 23, 2014 - jomushi
Timu ya Taifa Burundi Kuwasili Kesho Kuikabili Stars

TIMU ya Taifa ya Burundi (Intamba Mu Rugamba) inatarajiwa kuwasili nchini kesho, Aprili 24 mwaka huu saa 12 jioni kwa ndege ya Kenya Airways tayari…

Continue Reading....

Washindi wa Tanzania Movie Talents Nyanda ya Juu Kusini Wapatikana

Posted on: April 23, 2014 - jomushi
Washindi wa Tanzania Movie Talents Nyanda ya Juu Kusini Wapatikana

Na Josephat Lukaza wa Proin Promotions Limited – Mbeya SHINDANO la Tanzania Movie Talents kwa Kanda ya Nyanda ya Juu Kusini, Mkoani Mbeya limefikia Tamati…

Continue Reading....

Viingilio Kuziona Taifa Stars na Burundi Shs 5,000

Posted on: April 22, 2014 - jomushi
Viingilio Kuziona Taifa Stars na Burundi Shs 5,000

VIINGILIO cha chini katika mechi ya kirafiki ya kimataifa kati ya timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) na Burundi (Intamba Mu Rugamba) itakayochezwa Aprili…

Continue Reading....

Shindano la Tanzania Movie Talents Mkoani Mbeya Laendelea

Posted on: April 21, 2014 - jomushi
Shindano la Tanzania Movie Talents Mkoani Mbeya Laendelea

Kundi la Kwanza la Washiriki waliofanikiwa kuingia hatua ya pili ya Mchujo katika Mashindano ya Tanzania Movie Talents Mkoani Mbeya Wakipewa maelekezo kwaajili ya kuanza…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari