Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo na Burudani
  • Page 253

Category: Michezo na Burudani

Wakili Ogunde Kuchunguza Matukio ya Usajili Ndani ya Kambi ya Stars

Posted on: May 1, 2014 - jomushi
Post Tags: Usajili Bara
Wakili Ogunde Kuchunguza Matukio ya Usajili Ndani ya Kambi ya Stars

KUTOKANA na tukio lililotokea jana (Aprili 30 mwaka huu) kwenye kambi ya timu ya Taifa (Taifa Stars) iliyopo Tukuyu mkoani Mbeya likihusisha usajili wa baadhi…

Continue Reading....

BFT Yampongeza Waziri Bernard Membe

Posted on: April 30, 2014 - jomushi
BFT Yampongeza Waziri Bernard Membe

SHIRIKISHO la ngumi Tanzania (BFT) limetoa pongezi za dhati kwa Waziri wa Mambo ya Nchi ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe kwa jitihada…

Continue Reading....

Rasimu ya Katiba ya Simba Yamaliza Kukaguliwa na Serikali

Posted on: April 30, 2014 - jomushi
Rasimu ya Katiba ya Simba Yamaliza Kukaguliwa na Serikali

SERIKALI kupitia Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo imemaliza kupitia Rasimu ya Katiba ya Club ya Simba kwa ajili ya kuidhinisha katiba hiyo na…

Continue Reading....

Timu ya Taifa Malawi Kuwasili Dar Mai Mosi Kuivaa Taifa Stars

Posted on: April 29, 2014 - jomushi
Timu ya Taifa Malawi Kuwasili Dar Mai Mosi Kuivaa Taifa Stars

TIMU ya Taifa ya Malawi (Flames) inatarajiwa kuwasili nchini Mei 1 mwaka huu kwa ajili ya mechi ya kirafiki dhidi ya Taifa Stars itakayochezwa Mei…

Continue Reading....

Mart Nooij Awaita 9 Kuunda Stars

Posted on: April 27, 2014 - jomushi
Mart Nooij Awaita 9 Kuunda Stars

Kocha mpya wa Taifa Stars, Mart Nooij ameongeza wachezaji tisa katika kikosi hicho kinachojiandaa kwa mechi ya kirafiki dhidi ya Malawi (The Flames) itakayochezwa Mei…

Continue Reading....

Kocha Mpya wa Taifa Stars, Nooij Akabidhiwa Mikoba

Posted on: April 27, 2014 - jomushi
Kocha Mpya wa Taifa Stars, Nooij Akabidhiwa Mikoba

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza rasmi Mart Nooij kutoka Uholanzi kuwa kocha mkuu mpya wa timu ya Taifa (Taifa Stars). Rais wa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari