Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo na Burudani
  • Page 241

Category: Michezo na Burudani

Golkipa Aipeleka Uholanzi Nusu Fainali Kombe la Dunia

Posted on: July 5, 2014 - jomushi
Post Tags: featured, Golkipa Aipeleka Uholanzi Nusu Fainali Kombe la Dunia
Golkipa Aipeleka Uholanzi Nusu Fainali Kombe la Dunia

GOLKIPA wa timu ya taifa ya Uholanzi ameipeleka timu yake katika hatua ya Nusu Fainali za Michezo ya Fainali za Kombe la Dunia baada ya…

Continue Reading....

Bilal, Kinana ‘Wafanya’ Mazoezi Uwanja wa Azam FC

Posted on: July 5, 2014 - jomushi
Post Tags: Bilal, Kinana 'Wafanya' Mazoezi Azam FC
Bilal, Kinana ‘Wafanya’ Mazoezi Uwanja wa Azam FC

Continue Reading....

Vita Dhidi ya Upangaji Matokeo Kuhamishiwa Kwa Waandishi

Posted on: July 4, 2014 - jomushi
Vita Dhidi ya Upangaji Matokeo Kuhamishiwa Kwa Waandishi

TAASISI moja kutoka Uingereza inayohusika na kampeni dhidi ya upangaji matokeo kwenye mpira wa miguu (match fixing) itafanya uwasilishaji (presentation) juu ya suala hilo kwa…

Continue Reading....

Brazil, Ujerumani Zaingia Nusu Fainali Kombe la Dunia

Posted on: July 4, 2014 - jomushi
Post Tags: Brazil, featured, Ujerumani Zaingia Nusu Fainali Kombe la Dunia
Brazil, Ujerumani Zaingia Nusu Fainali Kombe la Dunia

TIMU ya Taifa ya Brazil imefanikiwa kuingia nusu fainali ya Kombe la Dunia baada ya kuibugiza Timu ya Taifa ya Colombia mabao 2-1 katika mchezo…

Continue Reading....

Red Bull Kucheza Mpira Mitaani na Mfaransa Sean Garnier

Posted on: July 3, 2014 - jomushi
Post Tags: Red Bull
Red Bull Kucheza Mpira Mitaani na Mfaransa Sean Garnier

 Mwanamichezo kutoka nchini Ufaransa SeanGarnier (katikati) ambaye yuko nchini Tanzania kwa ziara maalum ya kimichezo akifafanua machache mbele ya waandishi wa habari mara baada ya kutambulishwa. Pembeni…

Continue Reading....

Serengeti Boys Kuikabili Afrika Kusimi

Posted on: July 1, 2014 - jomushi
Post Tags: Serengeti Boys
Serengeti Boys Kuikabili Afrika Kusimi

TIMU ya Taifa ya vijana wenye umri chini ya miaka 17 (Serengeti Boys) inaendelea vizuri na mazoezi kujiandaa kwa mechi ya mashindano dhidi ya Afrika…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari